Historia Ya Dkt. Magufuli Kazini
![](http://img.youtube.com/vi/AMsXKawTPqM/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QQjib1NxvgE/XsUmbO72BbI/AAAAAAALq9E/OPgJoXqqVZYuI7PlinhN_HOsa9AVGSq4gCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
Dkt. Kalemani aweka historia Loya, Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-QQjib1NxvgE/XsUmbO72BbI/AAAAAAALq9E/OPgJoXqqVZYuI7PlinhN_HOsa9AVGSq4gCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5j7lQNv9VRA/XsUma8V8ecI/AAAAAAALq9A/gvBpkQDjiGkrUxBj0Pjk6LlbjiihfeXbgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Rais Dkt. Magufuli amteua Dkt. Tulia Mwansasu kuwa Mbunge
Dkt. Tulia Mwansasu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli, leo asubuhi ametengua uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumteua kuwa Mbunge.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene, ameithibitisha kutenguliwa na kuteuliwa kwa Dk Tulia.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashilila amekiri kupokea taarifa ya uteuzi wa Dk Tulia mapema leo asubuhi.
Awali kabla ya uteuzi huo, Dr Tulia alikuwa Naibu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/-445jNRmaLQ/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Rais Dkt. Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt. Edward Hoseah
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dkt. Edward Hoseah (pichani) kutokana na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua aliyekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AksxxSSfLm0/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wAK3_c1QKl4/XsAu_T-AjzI/AAAAAAALqg4/7U_3UGOMUrMubTy7lqHkrJNJz9X7XSQAACLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Magufuli, Museveni waweka historia
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
Historia ya John Magufuli wa CCM