Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Homa ya Lassa haijatiliwa maanani

Nchi za Afrika Magharibi huenda wakakumbwa na changamoto ya kutibu homa ya Lassa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.

SIMBA V YANGA 8Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika  kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...

 

11 years ago

BBC

The struggle to cope with Lassa fever

The deadly virus which Ebola has pushed into the sidelines

 

5 years ago

Al Jazeera English

Nigeria: Death toll from Lassa fever outbreak jumps to 70

Nigeria: Death toll from Lassa fever outbreak jumps to 70  Al Jazeera EnglishLassa fever: why there's a call to declare a health emergency in Nigeria  The Conversation AfricaLassa fever: Why there's a call to declare a health emergency in Nigeria - Nigeria  ReliefWebView Full coverage on Google News

 

11 years ago

BBCSwahili

TZ yapambana na Homa ya

Tanzania imesema inapambana na mlipuko wa homa ya Dengue iliyozuka mapema mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

FAHAMU KUHUSU HOMA YA DENGUE

Homa ya Dengue ni ugonjwa unaoenezwa kwa kuumwa na mbu aina ya Aedes mwenye virus vya ugonjwa huu. Mbu hupata virusi vya homa ya Dengue anapomuuma mtu mwenye ugonjwa huu. Ugonjwa huu unaenezwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kwa kuumwa na mbu huyu. DALILI: Homa kali ya ghafla Kuumwa kichwa hususani sehemu za machoni…

 

11 years ago

Mwananchi

Homa ya Dengue yatikisa Dar

>Ugonjwa wa homa ya dengue umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na sasa umeathiri wilaya zake tatu na kuzua hofu kwa wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Sampuli 60 zachunguzwa homa ya dengue

UKOSEFU wa vifaa tiba katika hospitali za wilaya mkoani Lindi, umesababisha watu 60 kuchukuliwa sampuli zao kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi kubaini ugonjwa wa dengue kwenye maabara mkoani Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Vipimo homa ya dengue vyaadimika

>Taasisi ya Afya ya Ifakara kwa kushirikiana na ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa, wameamua kuanza kuchukua sampuli za damu za wagonjwa wanaohisiwa kuwa na maambukizi ya homa ya dengue na kwenda kuzifanyia vipimo katika ofisi ya Mkemia Mkuu.

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya dengue kila kona

WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani