Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HON. ASHA-ROSE MIGIRO AT THE INTERNATIONAL CRIMINAL COURT HIGH-LEVEL MEETING FOR FOSTERING COOPERATION, ACCRA, GHANA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

DKT. ASHA-ROSE MIGIRO ALIVYOPOKELEWA KWA FURAHA UMOJA WA MATAIFA

Ili kuwa ni hafla ya aina yake iliyojaa tabasamu, kukumbatiana na maneno ya " welcome back, good to see you again, we have missed you" yakitawala wakati Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa Dkt. Asha- Rose Migiro alipofika Ofisini kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon na kisha kukutana na kubadilishana mawazo na Katibu Mkuu mwenyewe wakianza na mazungumzo ya faragha kati yao wawili na kisha kujumuika na wafanyakazi wa Ofisi Binfasi ya Katibu Mkuu na Ofisi Binafsi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

SALMA MOSHI AZIDI KUTESA DAR AKUTANA NA MHE. ASHA-ROSE MIGIRO

Katibu muenezi na Itikadi wa CCM DMV Salma Moshi aka Salma Manyoka akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Asha-Rose Mtengeti Migiro siku ya Jumamosi September 12, 2015 siku Salma Moshi alipotembelea Wizara ya Sheria na Katiba.

 

5 years ago

Michuzi

HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.

Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza  ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko  wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt Asha-Rose Migiro apata wadhamini wa kutosha mkoani Kigoma leo


Katibu wa ccm wilaya ya Kigoma Novati Kibadi akimkabithi form Dkt. Migiro zenye majina 45 alizodhaminiwa na wakazi wa kigoma
Baadhi ya wanachama wa CCM waliojitokeza kumdhamini Dkt. Migiro wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ccm mkoa wa Kigoma wakimsikiliza mgeni waoMhe Migiro akishukuru baada ya kukabithiwa fomu za wadhamini. Chini akishiriki kuimba na meza kuu baada ya kukabidhiwa fomu za wadhaminiMhe. Migiro akiongea na wana habari baada ya zoezi la kukabidhiwa majina ya wadhamini katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Dk. Asha-Rose Migiro akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Dkt Asha-Rose Migiro atua nyumbani Mwanga kupokea wadhamini

 Waziri wa Sheria na Katika Dkt. Asha-Rose Migiro akipokea majina ya wadhamin toka kwa katibu wa CCM Mwanga Bi Mwanaidi Dkt. Migiro  akiwa na list yake ya wadhamini Mwanga KilimanjaroDkt. Migiro akiwa na kaka zake kwenye kaburi la baba yake Cheif Shaaban Mndorwe Mtengeti Sangiwa II na babu zake waliotangulia.

 

5 years ago

CCM Blog

HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO


Na Said Mwishehe, Michuzi TV
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.
Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza  ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko  wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif akutana na Dkt Asha-Rose Migiro, balozi Aziz Mlima

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Dr. Asha Rose Migiro, alipofika nyumbani kwake Mbweni kwa ajili ya kutambulisha.  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Dr. Asha Rose Migiro, alipofika nyumbani kwake Mbweni kwa ajili ya kutambulisha. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani