Hospitali Iringa yapatiwa vifaa
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Iringa Development of Youth Disabled and Children Care (IDYDC) kwa kushirikiana na Redio Nuru FM ya mjini hapa, wametoa misaada ya viti vitano vya kubebea...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Ilala yapatiwa vifaa tiba
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, imepokea msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni moja kutoka kampuni ya Double tree. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, wakati...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Shule ya Viziwi Buguruni yapatiwa vifaa vya Tehama
WIZARA ya Sayansi na Teknolojia imeutaka uongozi wa Shule ya Msingi Viziwi Buguruni kuhakikisha vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walivyokabidhiwa kwa ajili ya wanafunzi vinatumika kama vilivyokusudiwa....
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s72-c/viewer.png)
Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s640/viewer.png)
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s72-c/IMG_20151209_094857.jpg)
WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-WuRcYrz_WC0/VmgFNixtZeI/AAAAAAAABPE/q_nhmwT5uxo/s640/IMG_20151209_094857.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d5nb5p4lo8Y/VmgGArjVQ3I/AAAAAAAABP0/G96NDXp7hoo/s640/IMG_20151209_095033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXzQPNeFbEI/VmgGflq4QUI/AAAAAAAABQU/Pq0c_mofV2M/s640/IMG_20151209_100256.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba
Na: Moh’d Said Shule ya msingi ya mtemani Wingwi iliyoko Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, imekabidhiwa vifaa vya kisasa kwa ajili ya ujenzi na uanzishaji wa maktaba ya kisasa (Digital Library) inayaotarajiwa kufunguliwa hivi […]
The post Shule ya msingi Mtemani Wingwi yapatiwa vifaa vya kisasa vya maktaba appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1g_HQs6Fg4/Vf6O4AuSV5I/AAAAAAAH6O0/RsIH21gJx2M/s72-c/Picha%2B4.jpg)
SHULE YA MSINGI MTEMANI WINGWI MKOA WA KASKAZINI PEMBA YAPATIWA VIFAA VYA KISASA VYA MAKTABA
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Hospitali zakabidhiwa vifaa tiba
TAASISI ya Mapafu imekabidhi vifaa tiba kwa hospitali za mikoa mitatu vitakavyosaidia kupunguza vifo vya watoto pindi wanapozaliwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
11 years ago
GPLWODI YA WAZAZI HOSPITALI YA MWANANYAMALA WAKABIDHIWA VIFAA