Hospitali ya Nyerere yapewa mashine ya kupumulia
HOSPITALI ya Wilaya ya Serengeti iliyoko katika mji wa Mugumu, Nyerere DDH, imekabidhiwa msaada wa mashine maalumu ya kuwasaidia wagonjwa kupumua. Mashine hiyo yenye thamani ya sh milioni 35 ilikabidhiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV27 Nov
Uhaba waikabili Muhimbili licha ya kupata Mashine Ya Kupumulia moja
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea msaada wa mashine moja ya kupumulia lakini bado inakabiliwa na uhaba wa mashine hizo kwani kabla ya msaada huo ilikuwa na mashine 12 za zamani.
Kulingana na viwango vya kimataifa vya Shirika la Afya Duniani WHO, hospitali kama ya Muhimbili inatakiwa kuwa na vitanda 150 vya wagonjwa mahututi na mashine za kupumulia.
Mashine iliyotolewa msaada ni ya kisasa ikiwa na thamani ya Dola elfu 36 za Marekani, ambazo ni sawa na Shilingi milioni 80 za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200416_110636_444.jpg)
UTAFITI WA MASHINE YA KUSAIDIA KUPUMULIA KWA WAGONJWA WA COVID 19 WAENDELEA NA TANALEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_110636_444.jpg)
Mwenyekiti wa Mtaa wa Levolosi Seif Abdi akipokea vifaa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yMdgF9XeoCs/XpiJgRCgcQI/AAAAAAAAJGY/LB8DmUIOAhYrk-5R37_zSe3qGEjG1lSWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_111020_267.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UtBxeNtrtr8/XpiJ-lCQiMI/AAAAAAAAJGo/A7PKUYqpTvcuXM6EoJh1XyZRxu31IudGgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_104320_259.jpg)
9 years ago
MichuziKAMPUNI YA ULINZI YA SGA YATOA MSAADA WA MASHINE YA KUPUMULIA NA MASHUKA WODI YA WATOTO MWANANYAMALA
10 years ago
Habarileo09 Mar
Hospitali ya Mwananyamala yapewa mashuka 200
MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia maendeleo na uboreshaji wa Hospitali ya Mwananyamala, kutokana na kuzidiwa na wagonjwa huku miundombinu ikiwa ni ile ile.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NcPUa81y5ZE/XkVhXq8G-FI/AAAAAAALdQE/2gD7IIz3e20OF14ZB5ZoquL8kAe7ZowMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1222a6dc-5074-40f8-9df5-fd8cc6eb451f.jpg)
HOSPITALI YA WILAYA MWANGA YAPEWA WIKI MBILI KUJA NA MKAKATI WA UPATIKANAJI WA VIPIMO MUHIMU VYA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NcPUa81y5ZE/XkVhXq8G-FI/AAAAAAALdQE/2gD7IIz3e20OF14ZB5ZoquL8kAe7ZowMwCLcBGAsYHQ/s640/1222a6dc-5074-40f8-9df5-fd8cc6eb451f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/77c398eb-43ce-4b66-a374-73c58896d8d5.jpg)
11 years ago
Habarileo27 Mar
TLTC yaikabidhi hospitali ya Moro mashine ya ultra sound
KAMPUNI ya Tumbaku nchini (TLTC) imekabidhi hospitali ya mkoa wa Morogoro mashine ya kisasa ya ultra sound yenye thamani ya Sh milioni 65.
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa hiyo imetolewa leo Aprili 26, 2020 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma wa Hospitali hiyo, Aminiel Aligaesha na kuongeza kuwa, Hospitali hiyo pia inatarajia kufunga mashine moja ya kumsaidia mgonjwa kupumua kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa waliopata maambukizi hayo.
"Tayari wagonjwa wanaohitaji kusafishwa damu wameanza kuhudumiwa ,...