Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali za wilaya kutoa kinga za TB

ILI kudhibiti kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) miongoni mwa wakazi, mkoa wa Tanga uko kwenye hatua za mwisho za matayarisho ya utaratibu wa kutoa kinga kupitia hospitali zake zote za wilaya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME

Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo.Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria shighuli ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Kuni ,Bomang'ombe wilayani Hai.Wananchi wakiwa wamezingira magari hayo wakiyatizama kwa karibu.Mbunge wa jimbo la Hai ,akiuzungumza juu ya msaada huo kwa watu wa jimbo la Hai.Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akikabidhi nyaraka mbalimbali za...

 

5 years ago

Michuzi

KANISA LA KKKT WATOA VIFAA KINGA KWA HOSPITALI YA MT.MERU


  Na.Vero Ignatus.Arusha
Kamati ya kusaidia ya wasijiweza (Diakonia)kutoka kanisa la KKKT Dayosisi ya Kaskazini kati Usharika wa Engarenarok mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wametoa msaada wa barakoa 1650 katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Arusha Mount Meru
Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo hapo jana ,Askofu wa Dayosisi ya kaskazini kati Dkt. Solomon Jacob Masangwa alisema kuwa madaktari na wauguzi ni rasilimali muhimu sana ,hivyo kumuandaa daktari mmoja ni garama...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MONDULI APOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA VYA COVID_19

Leo tarehe 11/05/2020 Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mheshimiwa Iddi Hassani Kimanta amepokea  vifaa kinga kwajili ya ugonjwa covid_19.

Mkuu wa wilaya amepokea Ndoo kumi za kunawia mikono pamoja na Vitakasa mikono Chupa kumi kutoka kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania -FPCT kupitia mradi wake wa Tunandoto Tanzania Programu.

Akikabidhi msaada huo Mchungaji wa Kanisa hilo hapa Monduli Mch.Wilbert Mollel akifuatana na Mratibu wa  mradi ndg.Lomayani Laizer amesema kuwa Kanisa limeona kuwa Lina...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI


Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA


Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto)  akikabidhi msaada wa  vifaa mbalimbali vya kinga dhidi ya Corona kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema wenye thamani ya sh. mil. 7, vikiwemo vifaa vya mavazi ya kujikinga wakati wa kuwahudumia wagonjwa wa  ugonjwa huo.                              
 
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto)  akikabidhi msaada wa  vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

10 years ago

Michuzi

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi

Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi za Maisha, Ujuzi na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana jana katika Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya. Kushoto ni Mwenzeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa na kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya...

 

9 years ago

Habarileo

Hospitali ya wilaya yalalamikia MSD

HOSPITALI ya wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa baadhi ya dawa muhimu na mashine ya vipimo maalumu kwa magonjwa ya wanawake ‘utra sound’ kwa kipindi kirefu na kulazimika wagonjwa hao kusafiri kwenda maeneo ya mbali na nje ya wilaya hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani