Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hutaamini alichojibu Harmorapa kuhusu jinsia yake!

Rapa Harmorapa anaendelea kutawala mitandao ya kijamii kila kukicha kutokana na vituko vyake. Jumatano hii amewaacha mdomo wazi baadhi ya mashabiki wake baada ya kutoa jibu tofauti kuhusu jinsia yake.

Akichat na mashabiki katika mtandao wa facebook wa EATV ndani ya segment ya Kikaangoni, rapa huyo aliulizwa swali kuhusu jinsi yake ‘Wewe ni mwanaume wa aina gani?’ na rapa huyo kujibu ‘Mimi ni strong woman’.

Jibu hilo limewashangaza mashabiki wengi wa rapa huyo kwa kuwa wanajua yeye ni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ridhiwan aweka mambo hadharani, soma alichojibu kuhusiana na shutuma za ufisadi dhidi yake

Riz

Soma kile alichoandika Ridhiwan Kikwete kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizomwandama kwa miaka mingi.

Riz

Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.

Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia...

 

9 years ago

Bongo5

Update: Octopizzo azungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kudanganya kumshirikisha August Alsina, sikiliza alichojibu (Audio)

Octopizzo anaendelea kutawala vichwa vya habari Afrika Mashariki, kitu ambacho ndio lengo lake haswa kwasababu inampa ‘kiki’ hasa wakati huu ambao ameachia video mpya. Kinachomfanya azidi kuzungumziwa ni kuhusu swala la wimbo ambao mwanzo alidai amefanya na August Alsina mpaka uongozi wa msanii huyo ulipokuja kukanusha, na ukapatikana ushahidi wa wimbo mwingine unaofanana na huo […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala kuhusu usawa wa jinsia

Usawa wa jinsia na kuwezesha wanawake yamekuwa masuala makuu barani Afrika, lakini kumekuwa na hisia tofauti kuhusu juhudi za wanawake kupigania usawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Avuliwa nguo kuthibitisha jinsia yake

Genoveva Anonma mwenye kasi ya ajabu dimbani aliamriwa kuvua nguo zake zote ili kujiridhisha kuwa ni mwanamke.

 

10 years ago

BBCSwahili

USA kuamua kuhusu ndoa za jinsia moja

Mahakama kuu nchini Marekani inatarajiwa kutoa uamuzi wa nchi nzima iwapo wapenzi wa jinsia moja wana haki ya kufunga ndoa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ireland yaamua kuhusu ndoa za jinsia moja

Shughuli ya upigaji kura inaendelea huko Ireland katika kura ya maoni ya kubadilisha katiba ili kuruhusu ndoa za mapenzi ya jinsia moja.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mr Blue apata mtoto wa pili, jinsia yake ni?

Mr Blue na mke wake wamepata mtoto wa pili. Awamu hii familia hiyo imepata mtoto wa kike aitwaye, Khairriyaaa. Khairriya Herry Sameer “Alhamdulilahi mungu ni mwema sana sana, hatuna cha kumlipa zaidi ya kumuabudu kumtukuza na kumshukuru,” ameandika Blue kwenye Instagram. “Nakushukuru sana mungu wangu na nakushukuru pia mke wangu @wahyda_bysers_heart kwa kuniletea zawadi nyingine […]

 

10 years ago

Vijimambo

GENOVEVA ANONMA ALILAZIMISHWA KUVUA NGUO NA KUKAGULIWA JINSIA YAKE


Viongozi wa timu za Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walidhani Genoveva Anonma ni mwanaume. Jitiririshe  chini akiwa uwanjani kwenye soma zaidi Genoveva Anonma alilazimishwa kuvua nguo na kukaguliwa jinsia yake .
Kashfa hii ilianzishw akwenye muichuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa kina mama ambapo viongozi wa Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walizusha hoja kuwa wachezjai watatu wa Equatorial Guinea ni wanaume na si wanawake . Credit:MillardAyo.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani