Idd Azzan aanguka Kinondoni, Cuf yachukua
Wimbi la vyama vya upinzani kushinda ubunge jijini Dar es Salaam limeendea usiku huu baada ya mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika jimbo la Kinondoni, akimshinda mgombea wa CCM, Idd Azzan.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s72-c/2.jpg)
IDD AZZAN APIGWA CHINI KINONDONI, CUF YACHUKUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s640/2.jpg)
Wimbi la vyama vya upinzani kushinda ubunge jijini Dar es Salaam limeendelea baada ya mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika jimbo la Kinondoni, akimshinda mgombea wa CCM, Idd Azzan.
Akitangaza matokeo hayo usiku wa kuamkia leo, msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo ambaye pia ni mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Mussa Natty amesema, Mtulia amepata kura 70, 337 huku Azzan aliyekuwa anatetea kiti chake akipata...
10 years ago
GPLIDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IDD-AZZAN-1.jpg)
IDD AZZAN APOKELEWA KWA KISHINDO KIJITONYAMA
11 years ago
GPLIDD AZZAN: TAMASHA LA MATUMAINI LIFANYIKE NCHI NZIMA
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Idd Azzan: Mwenye ushahidi nafanya biashara ya dawa za kulevya awape polisi
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Idd Azzan atoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa mlemavu jimboni kwake
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu.
Na modewji blog team
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata.
Idd Azzan ametoa msaada … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi kupataa tabu ya kukosa kiti hicho.
Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo...
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/0D6A5197.jpg?width=650)
IDD AZZAN ATOA MSAADA WA KITI CHA MAGURUDUMU KWA MLEMAVU JIMBONI KWAKE