IDD AZZAN: TAMASHA LA MATUMAINI LIFANYIKE NCHI NZIMA
Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Azzan. Kinondoni ni moja kati ya wilaya tatu za Jiji la Dar es Salaam na jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Idd Azzan kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM. Jimbo hili linapatikana Kaskazini mwa Jiji la Dar es Salaam, likiwa na eneo lenye ukubwa wa kilometa za mraba 531 na wakazi zaidi ya 2,497,940 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Kama kawaida, Gazeti la Uwazi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan
10 years ago
GPLIDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Idd Azzan aanguka Kinondoni, Cuf yachukua
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IDD-AZZAN-1.jpg)
IDD AZZAN APOKELEWA KWA KISHINDO KIJITONYAMA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s72-c/2.jpg)
IDD AZZAN APIGWA CHINI KINONDONI, CUF YACHUKUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-swn5nM1eTjA/VjBImwWtDaI/AAAAAAABYHc/KIvzjEUmlT0/s640/2.jpg)
Wimbi la vyama vya upinzani kushinda ubunge jijini Dar es Salaam limeendelea baada ya mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maulid Mtulia kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo katika jimbo la Kinondoni, akimshinda mgombea wa CCM, Idd Azzan.
Akitangaza matokeo hayo usiku wa kuamkia leo, msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo ambaye pia ni mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni, Mussa Natty amesema, Mtulia amepata kura 70, 337 huku Azzan aliyekuwa anatetea kiti chake akipata...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Idd Azzan: Mwenye ushahidi nafanya biashara ya dawa za kulevya awape polisi
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Idd Azzan atoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa mlemavu jimboni kwake
Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu.
Na modewji blog team
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata.
Idd Azzan ametoa msaada … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi kupataa tabu ya kukosa kiti hicho.
Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo...
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/0D6A5197.jpg?width=650)
IDD AZZAN ATOA MSAADA WA KITI CHA MAGURUDUMU KWA MLEMAVU JIMBONI KWAKE