Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IDRIS: NAFIKIRIA MAISHA YA BAADAYE SI HELA NILIZOPATA

Mshindi wa Big Brother Hotshots, Idris Sultan, akiwa kwenye pozi. Meneja Uhusiano wa Multchoice Barbara Kambogi (kushoto),akiwa na  Idrisa (katikati) na Meneja  Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu,  katika meza kuu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UNAJIAMINI NINI HADI UJINYIME KWA AJILI YA MAISHA YA BAADAYE?

Kwanza niwashukuru wasomaji wangu ambao wamekuwa wakinipongeza kutokana na yale ambayo nimekuwa nikiyaandika kupitia safu hii. Mmoja wa wasomaji hao ni Nasra wa Kilombero ambaye ni mfanyabiashara. Kwa nini nimpe shukrani za kipekee? Hivi karibuni alinipigia simu na kuniambia: “Nakushukuru, mada zako zimenisaidia sana, nimekuwa nikifanyia kazi unayoandika na hakika maisha yangu yamebadilika, asante na Mungu akubariki.”...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO: NAFIKIRIA KURUDI KWENYE UISLAM

Muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando. NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando amesema hakuna jambo jema alilojifunza tangu abadili dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo zaidi ya ‘ugaidi’ wa kiroho mbaya na sasa anaangalia namna ya kurudi katika imani yake ya kwanza. Akizungumza na Amani hivi karibuni, Rose alisema hana furaha katika maisha ya Ukristo tofauti na alivyokuwa akielezwa...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol: Nafikiria kuzindua video ya ‘Ningefanyaje’ Bongo au Kenya

Ben SA-1

Baada ya Ben Pol kukamilisha zoezi la kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ nchini Afrika Kusini, kitu kinachosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake kwa sasa ni kuiona video hiyo.

Ben SA-1

Hit maker wa ‘Sophia’ ambaye amerejea nchini jana (Nov.11) ameiambia Bongo5 kuwa amepanga kuitoa video hiyo mwezi ujao (Dec) lakini bado hajawa na uhakika wa asilimia 100 kutokana na mipango mingine anayoifikiria.

“Kusema kweli mimi naikimbiza itoke mwaka huu kwasababu mwakani nina project zingine inabidi na...

 

11 years ago

Habarileo

Manispaa wala hela ya mochari

Ofisi ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni HALMASHAURI ya Kinondoni imekumbwa na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha baada ya kubainika imedanganya kwamba ilitumia Sh milioni 20 kukarabati na kupanua mochari ya Hospitali ya Mwananyamala wakati siyo kweli.

 

10 years ago

Bongo5

Music: Darassa Ft. Triple D — Hela

hela artworkWimbo mpya wa rapper Darassa amemshirikisha Triple D unaitwa “Hela”. Studio Masanjuo Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Wakazi – Kanuni za Hela

20160105234058

Another single from the Upcoming album (Kisimani) this one is dubbed ‘Kanuni Za Hela’ which in Swahili means “principles of money” both making it & keeping it.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Westgate:Mwaka1 baadaye

Mwaka 1 tangu shambulizi la kigaidi la Westgate kutokea mjini Nairobi. Nini kimebadilika Kenya? Haya ni makala maalum ya BBC

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila ‘apiga hela’ mkutano wa Ukawa

Kiongozi wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, juzi alitoa mpya ya aina yake katika Mkutano wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa) pale alipopigia debe kitabu chake ambacho kilinunuliwa kwa idadi kubwa na wajumbe wenzake.

 

11 years ago

GPL

UKAWA WADAIWA KUPEWA HELA CHAFU

Mwenyekiti wa Taasisi ya Tanzania Kwanza, Agustino Matefu (kushoto) akiandika baadhi ya maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni mmoja wa viongozi wa taasisi hiyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani