IGP AZUNGUMZA NA MASHEIKH WA JIJI LA DAR WAUNGANA KUKEMEA UHALIFU NCHINI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akiongozana na viongozi wa dini ya kiislamu (kulia) Mwakilishi wa Mufti wa Tanzania katika Mafunzo hayo Sheikh Abubakar Zuber na kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwinyibaraka Sheikh Issa Othman wakati akilelekea kufungua Mafunzo ya kuwajengea uwezo Viongozi wa dini ya Kiislamu ili kuimarisha usalama nchini.Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Mwinyibaraka na kufanyika jijini Dar es Salaam jana.(Picha na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-elKkHhYOH4k/VS-1McyyfdI/AAAAAAAHRho/EURh6qsswOQ/s72-c/IMG-20150416-WA047.jpg)
IGP NA MASHEIKH WAUNGANA KUKEMEA UHALIFU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-elKkHhYOH4k/VS-1McyyfdI/AAAAAAAHRho/EURh6qsswOQ/s1600/IMG-20150416-WA047.jpg)
Na Frank Geofray- Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu pamoja na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini wameungana kwa pamoja kukemea vitendo vya uhalifu hapa chini pamoja na kuzitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto wao ili kuondokana na...
10 years ago
MichuziIGP MANGU AKUTANA NA MASHEIKH JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi23 Aug
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akutana na masheikh wa mikoa na maimamu wa misikiti
![](https://1.bp.blogspot.com/-vNTHjoVLSyQ/U_NYbREWNzI/AAAAAAAC63I/qsjeKdjBzOg/s1600/NO-2.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-LlMlMdJxQoo/U_NYboJXwQI/AAAAAAAC63M/_cqX4d6VqyY/s1600/NO1-.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*UC3qVbpY2UwJ3D1czVmV1HkeLL35*lodRnZ8K4TT4DjBgUKbSdG1XejEJZPNQirZZATD8ubZ7HGxeIWEZQsV0b/NO2.jpg?width=650)
MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP ERNEST MANGU AKUTANA NA MASHEIKH WA MIKOANI NA MAIMAMU WA MISIKITI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0iKsCycv6_c/U3pkBdColFI/AAAAAAAA6hE/yqMp_7tyxVo/s72-c/IMG_6926.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR WAUNGANA NA MKUU WA MKOA, NA MEYA WA KINONDONI KUFANYA USAFI MTO MLALAKUWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0iKsCycv6_c/U3pkBdColFI/AAAAAAAA6hE/yqMp_7tyxVo/s1600/IMG_6926.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjNpmytkYkk/U3pisKz5iWI/AAAAAAAA6fM/ya3w63X1kuo/s1600/IMG_6856.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-SU3brcAvugs/U3pdogjXLaI/AAAAAAAA6fA/RSaiVbkTN30/s1600/IMG_6930.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR WAUNGANA NA MKUU WA MKOA, NA MEYA WA KINONDONI KUFANYA USAFI MTO MLALAKUWA
11 years ago
Habarileo02 Jan
IGP aahidi kukomesha uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema ipo changamoto kubwa ya kukabili uhalifu na kusema atajitahidi kuhakikisha hilo linafanikiwa.
10 years ago
Habarileo17 Apr
IGP, mashehe wakemea uhalifu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/rTG6Nyd0u68/default.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10