Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


India kutambua waliobadilisha jinsia

Mahakama ya juu zaidi nchini India imetoa uamuzi wa kihistoria unaotambua watu waliobadilisha jinsia yao kama watu wa kawaida katika jamii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanasema masharti yaliyowekwa ya kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona yanawaweka hatarini sana watu waliobadili jinsia zao.

 

10 years ago

Michuzi

kenya yapiga hatua katika kutambua watu wenye jinsia mbili baada ya hukumu ya kihistoria kutolewa

Mahakama moja nchini Kenya imeiamuru serikali kutoa hati ya kuzaliwa kwa mtoto wa umri wa miaka mitano aliyezaliwa akiwa na jinsia za kike na kiume. 


Wakati alipozaliwa mtoto huyo, wafanyakazi wa hospitali waliweka alama ya kuuliza penye kisanduku cha jinsia kwenye fomu ya uzazi mwaka 2009 baada ya kushindwa kuamua kama ni wa kike ama wa kiume.

Wakili wa mtoto huyo ameeleza kufurahishwa na hukumu hiyo akisema ni hatua moja kwenda mbele katika kutambua watu wenye jinsia mbili wanaojulikana...

 

11 years ago

BBCSwahili

India yapinga wapenzi wa jinsia moja

Mahakama ya juu kabisa nchini India imepinga uhusiano wa wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

Michuzi

MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA

Baadhi ya Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakiimba kwa furaha wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (wa kwanza kulia) akipitia taarifa ya mapendekezo ya mtandao wa wanawake na Katiba Tanzania wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Bi. Usu Mallya akitoa mada kuhusiana na suala la kijinsia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India

01

Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).

                                                 Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar                                                         

Wizara ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Unawezaje kutambua kipaji chako?-1

Baada ya kuandika kwa wiki mbili mfululizo kuhusu umuhimu wa kutambua kipaji chako ili ufanikiwe maishani, nimepokea maoni ya wasomaji wengi wakitaka nijikite kuelezea namna gani binadamu anaweza kutambua kipaji chake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfumo wa kutambua matumizi ya risasi

Mfumo wa kutambua matumizi ya risasi ujulikanao kama Shot Spotter umeonyesha matumaini katika kupambana na uhalifu, Afrika Kusini.

 

5 years ago

Michuzi

Muhimbili kuendelea kutambua mchango wa Wauguzi

Baadhi ya wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakila kiapo cha maadili ikiwa ni kumbukumbu ya siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa Mei 12 kila mwaka.
Mkurugenzi wa Huduma za Uuuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kumbukumbu ya siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa Mei 12 kila mwaka.
Muuguzi Sophia Sanga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kumbukumbu ya siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa Mei 12...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mexico:Milioni 4 kutambua aliko 'shorty'

Serikali ya Mexico imetoa kiangaza macho cha dola milioni 4 kwa atakayetambua aliko mfanyibiashara nguli wa mihadarati aliyetoroka jela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani