Iringa Boma kuwa jumba la makumbusho.
Na Mawazo Malembeka,
Iringa.
Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa kibali kwa Chuo Kikuu cha Iringa kulikarabati na kulihuisha jengo lililojengwa na wakoloni wa kijerumani miaka 114 iliyopita maarufu kama Iringa Boma na kuwa jumba la makumbusho.
Jengo hilo ambalo litafanyiwa ukarabati na mradi wa kuendeleza na kukuza utamaduni wa asili kanda ya Nyanda za Juu Kusini unaoitwa Fahari yetu unaotekelezwa na Chuo Kikuu cha Iringa kwa ufadhili wa Jumuiya ya nchi za Ulaya kwa zaidi ya miaka 50...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_SsL-5bT-1s/Vawe9ny0QhI/AAAAAAAB_AI/X7QOpjw7XhE/s72-c/1.jpg)
UBORESHAJI WA BOMA LA MKUU WA WILAYA YA IRINGA KUWA KITUO CHA MAKUMBUSHO NA MAONESHO YA SANAA ZA KIUTAMADUNI WAPONGEZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-_SsL-5bT-1s/Vawe9ny0QhI/AAAAAAAB_AI/X7QOpjw7XhE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zm13_YKm50A/VawfrSv_VjI/AAAAAAAB_Aw/RCs-Benyd9A/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qrTVhiG775Y/Vawe9MpDVWI/AAAAAAAB-_4/GNNMepuUoAo/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Kcbt9Up1nU/Vawe91gdsfI/AAAAAAAB_AA/heWCfLuab2I/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA
10 years ago
GPLKINANA ATEMBELEA MAKUMBUSHO YA CHIFU MKWAWA, KALENGA, IRINGA - APEWA HESHIMA YA UCHIFU WA WAHEHE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
9 years ago
StarTV30 Oct
Wakazi wa Iringa watakiwa kuwa watulivu na kulinda amani
Wakazi wa mkoani Iringa wametakiwa kuwa watulivu kwa kupunguza ushabiki wa kisiasa ili kuepusha vurugu zisizo na msingi na kuufanya mkoa huo kuwa sehemu salama ya kuishi.
Hatua hiyo inatokana na uwepo wa watuhumiwa 50 waliokamatwa kwa madai ya kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi.
Ni kutokana na mvutano uliopo baina ya makundi mawili ya kisiasa juu ya ushindi wa mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa- Bi- Amanina...
9 years ago
StarTV28 Dec
Zaidi ya watu 1500 wajitangaza kuwa mashoga Iringa
Kukithiri kwa biashara haramu ya ngono pamoja na tabia ya ushoga mkoani Iringa kunadaiwa kusababishwa na baadhi ya vijana wa vyuo vikuu wanafika mkoani humo kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu, huku miongoni mwao wakitaka starehe zilizo nje ya uwezo wao.
Tamaa ya kumiliki vitu vya thamani – ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwahadaa baadhi ya wasomi hao wa vyuo vikuu, jambo linalosababisha wengi wao kuangukia katika wimbi la biashara ya ngono na ushoga na kuufanya ongezeko la maambukzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8nlpSFRGtfA/VWCZ7uREy3I/AAAAAAAABQA/6yAqGUD2EQw/s72-c/Daudi%2Blunch.jpg)
NEW DEVELOPMENT: DAUDI BOMA FOR BILATERAL TALK WITH COMMITTEE
![](http://4.bp.blogspot.com/-8nlpSFRGtfA/VWCZ7uREy3I/AAAAAAAABQA/6yAqGUD2EQw/s640/Daudi%2Blunch.jpg)
The man has changed in 24 hrs, from homeless to HOPE
Please...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LinbZ-Rgnk8/VV3wqZ_CHXI/AAAAAAAABPs/X_Xp6laNlew/s72-c/Daudi%2Bboma.jpg)
AFTER AN ACCIDENT AT WORK: DAUDI BOMA SUFFERED A TRAUMATIC BRAIN INJURY AND NEEDS YOUR HELP
![](http://1.bp.blogspot.com/-LinbZ-Rgnk8/VV3wqZ_CHXI/AAAAAAAABPs/X_Xp6laNlew/s320/Daudi%2Bboma.jpg)
10 years ago
MichuziMkuu wa wilaya ya Mufindi amewataka wakazi wa mkoa wa Iringa kuwa walinzi namba moja dhidi ya wenyetabia ya kuharibu mazingira
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya habari na mawasiliano ya Halmashauri ya wilaya ya Mufindi Imetanabasha kuwa, mkuu wa wilaya ameyasema hayo kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yaliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Vikula Wilayani Mufindi...