Israel na Jordan zaafikiana kuhusu Jerusalem
Israel na Jordan zimeafikiana kuhusu hatua ambazo zinalenga kumaliza uhasama ambao umekuwepo kuhusu moja ya maeneo matakatifu mjini Jerusalem.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria
Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Marekani yalaani ICC kuhusu Israel
Marekani imelaani hatua ya mahakama ya kimaitaifa ya uhalifu wa kivita ICC kuanzisha uchunguzi dhidi ya Israel
11 years ago
Mwananchi28 May
Papa Francis, Waziri Mkuu Israel walumbana kuhusu Yesu
Malumbano makali ya maneno na hoja yamezuka baina ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu lugha gani aliyotumia Yesu Krtisto miaka 2,000 iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Waumini washambuliwa Jerusalem
Takriban waisreli wanne wameuawa na wnegine 8 kujeruhiwa katika kile polisi wanasema ni shambulio la kigaidi dhidi ya Sinagogi eneo la magharibi ya Jerusalem.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Jerusalem wakumbwa na machafuko
Leo ni siku ya pili ya makailiano katika eneo la al-Aqsa mjini Jerusalem, kati ya polisi wa Israeli na vijana wa Kipalestina
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Wanaowashambulia Waisrael kuondolewa Jerusalem
Serikali ya Israeli imeipa idara ya polisi nguvu zaidi kuzingira kabisa maeneo yote mashariki mwa Jerusalem.
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Makabiliano yazuka msikitini Jerusalem
Ghasia zimezuka al-Aqsa, polisi wa Israel walipoingia eneo la msikiti huo saa chache kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa Kiyahudi.
9 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wapalestina wazuiwa kuinga Jerusalem
Polisi wa Israeli wametangaza mafuku ya kuingia kwenye mji wa zamani wa Jerusalem dhidi ya Wapalestina kwa muda wa siku mbili
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXVHk-nSZZwRLQ82QRCsSLHzF6lR6Ri21y28zeW9nJ8X9uAc3p-gfVvvbV*BoqIJs*A1IrLCzGlbWXU*04h0CQwq/jbmtupu.jpg?width=650)
SIMULIZI YA JB: AZIGAWA FILAMU ZAKE JERUSALEM
“Ngoja nikwambie kitu kimoja. Kuna vijana wengi siku hizi wanaweza kukufuata na kukwambia kwamba wanataka kuigiza, sawa, ila ukiwauliza kwa nini wanataka kuigiza, wanakwambia ni kwa sababu wanataka kuwa maarufu, basi,” anasema JB kisha anakunja sura kidogo hali iliyonifanya nishtuke, nikajiweka vizuri kitini. Akaendelea: “Huwa sipendi kufanya kazi na watu wanaotaka umaarufu halafu iwe basi. Uigizaji kwa sasa ni ajira,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania