Jaffar: Naamini ufaulu utanipeleka Ikulu
Ni Jumamosi ya Oktoba 31, siku ambayo Jaffar Matange(13) ameandika historia katika maisha yake na kuingia kwenye rekodi ya kitaifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Bado naamini chanjo ya VVU itapatikana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Jis9QtzPkz8/Xl6H4UHZdnI/AAAAAAAA9Yo/E5IEhmVgQd4OMstZ12j9snS_sI9TjB1dQCNcBGAsYHQ/s72-c/240px-Azam_FC_Club_Logo.jpg)
THABITH ZAKARIA 'ZAKA ZAKAZI' ACHUKUA NAFASI YA JAFFAR IDD AZAM FC
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jis9QtzPkz8/Xl6H4UHZdnI/AAAAAAAA9Yo/E5IEhmVgQd4OMstZ12j9snS_sI9TjB1dQCNcBGAsYHQ/s640/240px-Azam_FC_Club_Logo.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-An2bS3VgwvE/Xl6Ip3-7s2I/AAAAAAAA9Yw/WJvMQWbCciM-7MlC-2iVl56ZbMSB34jkwCNcBGAsYHQ/s640/ESMeZV4X0AEVlOB.jpg)
9 years ago
Bongo502 Oct
Hizi taarifa nazichukulia tu kama uvumi naamini BASATA hawawezi kunifungia wimbo — Roma
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MfixU5pKssU/Xutb79jYvpI/AAAAAAABMfc/VRWA1OirPOQEP-tWW7C3YQ9VdS5sUAwNACLcBGAsYHQ/s72-c/JAFFAR.jpg)
MOHAMMED JAFFAR JUMANNE ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUWA MGOMBEA URAIS ZANZNIABAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-MfixU5pKssU/Xutb79jYvpI/AAAAAAABMfc/VRWA1OirPOQEP-tWW7C3YQ9VdS5sUAwNACLcBGAsYHQ/s400/JAFFAR.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s72-c/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege
![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s1600/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Viwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya TaifaViwango vya ufaulu vinapokinzana na malengo ya elimu, dira ya Taifa
10 years ago
Habarileo06 Nov
Ufaulu la Saba juu
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2014 yanayoonesha kuwa, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 6.38 huku Kanda ya Ziwa iking’ara kwa kuwa na shule nane kati ya kumi bora kitaifa.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Ufaulu umeimarika, ubora je?
JANA, Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk. Charles Msonde, alitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika kuanzia Mei 5 hadi 21, mwaka huu....