Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAJI: PISTORIUS HAKUKUSUDIA KUUA

Majonzi: Mwanariadha Oscar Pistorius akilia wakati wa mapitio ya hukumu yake katika Mahakama Kuu jijini Pretoria. Staa huyu huenda akafungwa jela miaka 25 kama atabainika kuua kwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama:Pistorius hakukusudia kuua

Jaji katika kesi ya Oscar Pistorius, amesema upande wa mashitaka umekosa ushahidi wa shitaka kuu la kwanza dhidi ya Pistorius kuwa alikusudia kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.

 

10 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius. MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya. Oscar Pistorius akisikiliza hukumu yake. Akitoa uamuzi wake, Jaji Thokozile Masipaa alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiwa katika hali ya mshtuko akidhani kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mlinzi EAC adaiwa kuua dereva wa Jaji

MFANYAKAZI wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Idara ya Mahakama (EACJ), Ibrahimu Msagati (33), amekufa baada ya kupigwa risasi ya mgongoni na anayetuhumiwa kufanya hivyo, ni Mlinzi Mkuu wa jumuiya hiyo, Jackson Oula.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji akubali rufaa dhidi ya Pistorius

Mahakama nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka kukata rufaa dhidi ya kosa alilopatikana nalo hatia Oscar Pistorius la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ampata na hatia Oscar Pistorius

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp pasi na kukusudia.

 

10 years ago

GPL

JAJI AKUBALI RUFAA DHIDI YA OSCAR PISTORIUS

Mwanariadha Oscar Pistorius. MAHAKAMA nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka, Gerrie Nel kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Oscar Pistorius baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Kiongozi wa Mashitaka, Gerrie Nel. Kesi hiyo, sasa itaanza kusikiliza katika mahakama ya juu zaidi upande wa mashitaka ukitaka Pistorius ahukumiwe kwa kumuua mpenzi wake kwa makusudi.… ...

 

5 years ago

Michuzi

JAJI KIONGOZI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA JAJI MSTAAFU MUSHI

 Jaji Kiongozi   wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi (wa kwanza kushoto) akiwaongoza   baadhi ya Majaji wa Mahakama ya Tanzania kuubeba mwili wa marehemu , Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Nathaniel Melkizedek Mushi, kwa ajili ya mazishi, alifariki dunia Machi 11, mwaka huu nyumbani kwake Mailisita Moshi Mjini, ambapo pia mazishi yake yalifanyika katika eneo hilo, mwanzoni mwa wiki hii mkoani Kilimanjaro. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzani, Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani