Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi EAC adaiwa kuua dereva wa Jaji

MFANYAKAZI wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Idara ya Mahakama (EACJ), Ibrahimu Msagati (33), amekufa baada ya kupigwa risasi ya mgongoni na anayetuhumiwa kufanya hivyo, ni Mlinzi Mkuu wa jumuiya hiyo, Jackson Oula.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mlinzi adaiwa kunajisi mtoto wa miaka 2

MLINZI wa Kampuni ya Security Guard, Keiya Kapuka (28) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, kujibu mashitaka ya kunajisi mtoto wa miaka miwili. Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Munde Kalombola alidai mbele ya Hakimu Ester Mwakalinga kuwa Februari 9, mwaka huu, eneo la Mtaa wa Muheza wilayani Ilala, Kapuka alimnajisi mtoto wa miaka miwili.

 

10 years ago

GPL

MIKE ADAIWA KUWA MLINZI WA STEVE NYERERE

Na Hamida Hassan STAA wa filamu za Bongo, Mike Sangu amedaiwa kuajiriwa na Steve Nyerere kuwa mlinzi wake kutokana na kutembea naye kila kona. Staa wa Filamu za Bongo, Mike Sangu Chanzo cha habari hii kilidai kuwa, baada ya Steve kuachia madaraka Bongo Movie Unity, Mike naye alijiondoa kimyakimya na kuhamia kwa Steve na kuwa mlinzi wake kila anakokwenda. “Unajua hadi aibu! Steve hata akisogea kwenda kuongea na simu Mike...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua

JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mume adaiwa kuua mkewe

MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Tuombemungu Kata ya Ugunga wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Mawazo Saidi, ameuawa kikatili.

 

11 years ago

GPL

MEJA JWTZ ADAIWA KUUA MADENTI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
MKESHA wa Mwaka Mpya (2014) ulikuwa ni kilio, huzuni na majonzi kwa wakazi wa Pugu Kwamustafa, Ilala jijini Dar es Salaam kufuatia Meja wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Rashid Musa (43) kudaiwa kuwaua kwa kuwapiga risasi hadi kufa madenti wawili na wengine watatu kujeruhiwa wakati wakisherehekea mwaka. Madenti waliouawa ni Ibrahim Mohamed (16), wa kidato cha tatu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa ndani adaiwa kuua mwajiri wake

>Karani wa Mahakama ya Wilaya ya Singida, Asha Juma(24), ameuawa kwa kuchomwa kisu na mfanyakazi wake wa ndani.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi mwingine adaiwa kuua kwa fimbo

NA BENJAMIN MASESE, MWANZA

ASKARI  wa Jeshi la Polisi mkoani  Mwanza,  PC Joel Francis (41)  mwenye namba F.4965 anadaiwa kumpiga Donald Magalata (30)  kwa fimbo na kumsababishia kifo.

Tukio hilo limetokea ikiwa ni wiki moja  imepita,baada ya askari   mwingine mkoani hapa Dau Elisha  mwenye namba H 852 PC  wa  kituo cha Nyamagana  kumuua askari mwenzake    PC Petro   Matiko wenye namba  H 5950 kwa risasi na baadaye kujipiga  risasi  kichwani na kufariki dunia papo hapo.

Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi

>Watu wawili inadaiwa wameuawa na mmoja kujeruhiwa eneo la Pugu Kinywamwezi baada ya kupigwa risasi na ofisa mmoja wa jeshi wakati walipopanda katika gari lake huku wakishangilia kuanza kwa Mwaka Mpya wa 2014.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvulana wa miaka 11 adaiwa kuua kwa sababu ya mbwa

Mvulana wa umri wa miaka 11 anazuiliwa Tennessee, Marekani akituhumiwa kumuua msichana wa jirani baada ya mzozo kuhusu kitoto cha mbwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani