Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji wa pili abwaga manyanga kesi ya jengo lililoua Dar Ghandi

Jaji Raziah Sheikh aliyekuwa amepangwa kusikiliza maombi ya washtakiwa wa kesi ya mauaji ya jengo lililoporomoka katika Mtaa wa Indira Gandhi, amebwaga manyanga kuendelea kuisikiliza kesi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kikwete abwaga manyanga

HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm abwaga manyanga

>Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm amebwaga manyanga kuendelea kuinoa timu hiyo baada ya kupata ‘ofa’ ya kuinoa klabu ya Al Shoala Sports ya Saudi Arabia.

 

9 years ago

Habarileo

Matola abwaga manyanga Simba

HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.

 

10 years ago

BBCSwahili

Paulo Wanchope abwaga manyanga

Meneja wa timu ya taifa ya Costa Rica amebwaga manyanga siku moja baada ya kuhusika na tukio la kupigana huko Panama

 

11 years ago

Michuzi

Msemaji wa Timu ya Coastal Union abwaga manyanga

MIMI Hafidh Athumani Kido, nikiwa na akili timamu natangaza kutojihusisha na shughuli zote za Coastal Union, hasa usemaji wa klabu.
Miongoni mwa sababu nyingi zilizonifanya kutangaza uamuzi huo ni sintofahamu iliyozuka ndani ya klabu yetu, kwa taaluma yangu ya uandishi wa habari lazima niwe na msimamo juu ya mambo yanayoendelea kwenye jamii.
Ili niendelee kufanya kazi na klabu hii kwa wakati huu wa misuguano, lazima niwe na upande; kwa maana upande unaounga mkono uongozi ama upande...

 

10 years ago

Michuzi

Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo

MTANGAZAJI machachari wa habari za michezo kupitia kituo cha Televisheni cha ITV na Radio One, Maulid Baraka Kitenge (pichani) leo kupitia akaunti yake ya Twitter ametangaza rasmi kubwaga manyanga (kuacha kazi) katika Kampuni hiyo aliyokuwa akiifanyia kazi baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka 14. chini ni ujumbe wake aliouandika kupitia akaunti yake ya Twitter.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: PROFESA SOSPETER MUHONGO ABWAGA MANYANGA

Habari kutoka katika mkutano wa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (pichani) na wanahabari ofisini kwake Dar es salaam muda huu zinasema kiongozi huyo ameamua kubwaga manyanga. Sababu na habari kamili ya hili tutawaletea punde baada ya mkutano huo kwisha.

Ila kasema ameamua kujiuzulu kwa kile alichotaja kuiachia serikali na Bunge kusitisha malumbano ya sakata la Escrow, akidai inaonekana yeye ndiyo tatizo. Stay tuned for more....

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ.....: PROF. LIPUMBA ABWAGA MANYANGA UWENYEKITI WA CUF

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde, inaeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi -CUF, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba ametangaza kujiuzuli wadhifa wake huo mbele ya Waandishi wa habari kwenye `hoteli ya Peacock, Jijini Dar es salaam leo.
Prof. Lipumba amesema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kukiukwa kwa Katiba ya Chama chao.
TAARIFA KAMILI ITAKUJIA MUDA SI MREFU,ENDELEA KUFUATILIA GLOBU YA JAMII.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba

Baadhi ya wananchi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa escrow juzi, katika mji wa Mugumu wilayani Serengeti, Mkoa wa Mkoa wa Mara walikumbuka Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotupwa iliyokuwa ikitenganisha mihimili, hasa baada ya Spika Anna Makinda kuyumba kwa kuhofia mgongano wa mihimili na kusababisha kuvunjika kwa kikao cha Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani