Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii yahimizwa fursa za kukopa

JAMII imeshauriwa kutumia fursa zinazopatikana kwenye taasisi za fedha, benki na nyinginezo kujipatia mikopo itakayowasaidia kujikwamua kimaisha. Wito huo umetolewa na Meneja wa Benki ya Posta (TPB), tawi la Songea,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yahimizwa kuchangia elimu

WATANZANIA wametakiwa kubadilika kifikira na kimtazamo kwa kutoa kipaumbele katika kuchangia fedha mambo ya msingi kwenye jamii hasa elimu na kuondokana na kasumba ya kutumia mamilioni ya fedha kuchangia sherehe,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yahimizwa kunawa mikono

JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yahimizwa kusaidia yatima

MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...

 

10 years ago

StarTV

Mifuko Hifadhi ya Jamii yahimizwa kuboresha fao la elimu.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha.

Mifuko ya hifadhi ya Jamii Nchini imepewa changamoto ya kuboresha sera zake za fao la elimu ziendane na wakati uliopo.

Hatua hii itawawezesha watoto wa wanachama walio katika sekta za umma na binafsi kupata fursa ya elimu pindi wazazi wanapofariki ama kukosa uwezo wa kufanya kazi.

Licha ya hamasa ndogo waliyonayo wananchi hususani kutoka sekta binafsi katika kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii, haki ya fao la elimu ambalo sio la mkopo linatajwa kuwa muhimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amewataka wajasiriamali kukopa kwenye taasisi za fedha, kwani ndiyo njia ya kuwanyanyua kiuchumi na wafanyabiashara wengi wamenufaika nayo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu

795

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Na Othman Khamis Ame

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia  fursa  inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma  huku wakiendelea na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikakali yahimizwa kuhudumia wazee

SERIKALI imetakiwa kuwahudumia wazee nchini kama imevyowahudumia baadhi ya viongozi wakubwa waliostaafu. Ushauri huo ulitolewa mjini japa jana na Meya wa Manispaa ya Moshi Japhary Michael (CHADEMA) alipokuwa akikabidhi msaada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mikoa yahimizwa kuthibitisha riadha taifa

MIKOA inayotarajiwa kushiriki mashindano ya taifa ya riadha yanayotarajiwa kufanyika Julai 12-13 jijini Dar es Salaam, imetakiwa kuthibitisha ushiriki wao kabla ya Juni 15. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani