Jamii yahimizwa fursa za kukopa
JAMII imeshauriwa kutumia fursa zinazopatikana kwenye taasisi za fedha, benki na nyinginezo kujipatia mikopo itakayowasaidia kujikwamua kimaisha. Wito huo umetolewa na Meneja wa Benki ya Posta (TPB), tawi la Songea,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Jamii yahimizwa kuchangia elimu
WATANZANIA wametakiwa kubadilika kifikira na kimtazamo kwa kutoa kipaumbele katika kuchangia fedha mambo ya msingi kwenye jamii hasa elimu na kuondokana na kasumba ya kutumia mamilioni ya fedha kuchangia sherehe,...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Jamii yahimizwa kunawa mikono
JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Jamii yahimizwa kusaidia yatima
MKURUGENZI wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena, Seraphin Lusala, ameiomba jamii iongeze juhudi katika kusaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Lusala alitoa kauli hiyo jijini Dar...
10 years ago
StarTV28 Dec
Mifuko Hifadhi ya Jamii yahimizwa kuboresha fao la elimu.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Mifuko ya hifadhi ya Jamii Nchini imepewa changamoto ya kuboresha sera zake za fao la elimu ziendane na wakati uliopo.
Hatua hii itawawezesha watoto wa wanachama walio katika sekta za umma na binafsi kupata fursa ya elimu pindi wazazi wanapofariki ama kukosa uwezo wa kufanya kazi.
Licha ya hamasa ndogo waliyonayo wananchi hususani kutoka sekta binafsi katika kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii, haki ya fao la elimu ambalo sio la mkopo linatajwa kuwa muhimu...
11 years ago
Mwananchi28 May
Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.
Na Othman Khamis Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Serikakali yahimizwa kuhudumia wazee
SERIKALI imetakiwa kuwahudumia wazee nchini kama imevyowahudumia baadhi ya viongozi wakubwa waliostaafu. Ushauri huo ulitolewa mjini japa jana na Meya wa Manispaa ya Moshi Japhary Michael (CHADEMA) alipokuwa akikabidhi msaada...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Mikoa yahimizwa kuthibitisha riadha taifa
MIKOA inayotarajiwa kushiriki mashindano ya taifa ya riadha yanayotarajiwa kufanyika Julai 12-13 jijini Dar es Salaam, imetakiwa kuthibitisha ushiriki wao kabla ya Juni 15. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...