Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan yataka mazungumzo ya amani na Urusi

Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe ameitisha mazungumzo ya amani kati yake na Rais wa Urusi Vladimir Putin kujadili mkataba wa amani kati ya nchi hizo mbili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yasusia mazungumzo na Urusi

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo

Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo. Katika Mazungumzo hayo Balozi Yoshida amempongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa kuiongoza Tanzania katika awamu hii ya tano na pia amezungumzia miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Japan hapa nchini.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI TANZANIA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi mpya wa Japan katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Masahau Yoshinda alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha kwa Rais Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na na Balozi mpya wa Japan katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Masahau Yoshinda alipofika Ikulu Mjini Unguja leo kujitambulisha kwa Rais.[Picha na Ikulu.]

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM yataka amani, Chadema waibana polisi

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wapinzani wao katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika Jimbo la Kalenga kufanya siasa za amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani Mashariki ya kati

Muda wa mwisho uliowekwa na Marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yaandaa mazungumzo ya amani ya Yemen

Usitishwaji wa mapigano Yemen umeanza sambamba na mazungumzo ya amani yanayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa nchini Uswisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani