Japan yataka mazungumzo ya amani na Urusi
Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe ameitisha mazungumzo ya amani kati yake na Rais wa Urusi Vladimir Putin kujadili mkataba wa amani kati ya nchi hizo mbili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Marekani yasusia mazungumzo na Urusi
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani,John Kerry hatakutana na Rais Vladmir Putin wa Urusi, mpaka atakaporidhia mapendekezo
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ukraine na Urusi zafanya mazungumzo
Marais wa Urusi na Ukraine wamekuwa na mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja kuhusu mgogoro wa Ukraine,
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FLiJBuGCsno/VZpFXYaQYnI/AAAAAAAHnO8/ECzTBxRdhFw/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FLiJBuGCsno/VZpFXYaQYnI/AAAAAAAHnO8/ECzTBxRdhFw/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uX2GTKukywM/VZpFYLLCj9I/AAAAAAAHnPE/t3RkjbqTamU/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mazungumzo ya amani yakwama
Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
CCM yataka amani, Chadema waibana polisi
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wapinzani wao katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika Jimbo la Kalenga kufanya siasa za amani.
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mazungumzo ya amani Mashariki ya kati
Muda wa mwisho uliowekwa na Marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi
Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
UN yaandaa mazungumzo ya amani ya Yemen
Usitishwaji wa mapigano Yemen umeanza sambamba na mazungumzo ya amani yanayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa nchini Uswisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania