Je ngono huathiri wachezaji uwanjani?
Kuna ushahidi finyu kuwa ngono inaathiri kivyovyote uwezo wa mchezaji uwanjani,sasa je kwa nini dhana hii haindoki vinywani mwa wengi ?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Watu wanaopenda picha za utupu na filamu za ngono huathiri mahusiano yao ya kimapenzi
![unhappy-man-sad-795x529 (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/unhappy-man-sad-795x529-1-300x194.jpg)
Nilikuwa nasoma makala kwenye gazeti moja nikakutana na habari ya mtu huyu ambaye ameathirika na kitendo cha kutazama picha za ngono na tendo la kufanya punyeto tokea akiwa shule ya sekondari.
Akaendelea kusema kwa sasa amekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitatu lakini tatizo hilo linaendelea ingawa mke wake hajui jambo hilo linavyomsumbua. Kinachotokea ni kwamba anapokuwa peke yake ndani ya nyumba peke yake huangalia picha hizo na kuanza kupiga punyeto, ingawa alidhani angeacha mara tu baada ya...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya coronal: FC Seoul yaomba msamaha kwa kuweka 'wanasesele wa ngono'' uwanjani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Vipigo huathiri wanawake kisaikolojia
LICHA ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazowalinda wanawake lakini vitendo vya ukatili kwa wanawake vimekuwa vikiongezeka.Kuongezeka kwa vitendo hivyo kunachangiwa na kukosekana kwa elimu hasa katika baadhi ya maeneo ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Je,michezo huathiri ubikra wa wasichana?
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Utelekezaji wa familia huathiri wanawake kiuchumi
KUNA sababu mbalimbali zinazoweza kumuathiri mwanamke kiuchumi, mojawapo ni vipigo wanavyopata kutoka kwa wanaume. Hali hii inaweza kusababisha unyonge kwa wanawake kushindwa kuwajibika hasa kwa kuwa ndiye nguzo ya familia....
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Nguo za ndani za mitumba huathiri mifumo ya uzazi
MIAKA ya nyuma Tanzania ilionekana kama dampo la kuingiza bidhaa zisizo na ubora, hatua iliyosababisha baadhi ya wadau kulitupia jicho Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuliamsha. TBS iliyoanzishwa kwa...