Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je ngono huathiri wachezaji uwanjani?

Kuna ushahidi finyu kuwa ngono inaathiri kivyovyote uwezo wa mchezaji uwanjani,sasa je kwa nini dhana hii haindoki vinywani mwa wengi ?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Watu wanaopenda picha za utupu na filamu za ngono huathiri mahusiano yao ya kimapenzi

unhappy-man-sad-795x529 (1)

Nilikuwa nasoma makala kwenye gazeti moja nikakutana na habari ya mtu huyu ambaye ameathirika na kitendo cha kutazama picha za ngono na tendo la kufanya punyeto tokea akiwa shule ya sekondari.

unhappy-man-sad-795x529 (1)

Akaendelea kusema kwa sasa amekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitatu lakini tatizo hilo linaendelea ingawa mke wake hajui jambo hilo linavyomsumbua. Kinachotokea ni kwamba anapokuwa peke yake ndani ya nyumba peke yake huangalia picha hizo na kuanza kupiga punyeto, ingawa alidhani angeacha mara tu baada ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya coronal: FC Seoul yaomba msamaha kwa kuweka 'wanasesele wa ngono'' uwanjani

Kampuni inayotengeneza wanasesele wa ngono iliipatia klabu ya FC Seoul wanasesele wa ngono 30 kujaza nafasi 30 zilizokua wazi uwanjani.

 

11 years ago

Michuzi

Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani

 MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito. Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa. Tukio...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vipigo huathiri wanawake kisaikolojia

LICHA ya kuwepo kwa sheria mbalimbali zinazowalinda wanawake lakini vitendo vya ukatili kwa wanawake vimekuwa vikiongezeka.Kuongezeka kwa vitendo hivyo kunachangiwa na kukosekana kwa elimu hasa katika baadhi ya maeneo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,michezo huathiri ubikra wa wasichana?

Mwalimu mkuu wa shule moja amedaiwa kuwazuia wasichana katika shule hiyo kutoshiriki katika michezo kwa hofu kwamba huenda wakapoteza ubikira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utelekezaji wa familia huathiri wanawake kiuchumi

KUNA sababu mbalimbali zinazoweza kumuathiri mwanamke kiuchumi, mojawapo ni vipigo wanavyopata kutoka kwa wanaume. Hali hii inaweza kusababisha unyonge kwa wanawake kushindwa kuwajibika hasa kwa kuwa ndiye nguzo ya familia....

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti: Unene wa mwanaume huathiri mbegu za kiume

Utafiti uliofanywa nchini Denmark umeonyesha uzani wa mwanamume huathiri seli za mbegu za kiume na huenda ukachangia katika kuwafanya watoto wanaozaliwa kuwa wanene.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nguo za ndani za mitumba huathiri mifumo ya uzazi

MIAKA ya nyuma Tanzania ilionekana kama dampo la kuingiza bidhaa zisizo na ubora, hatua iliyosababisha baadhi ya wadau kulitupia jicho Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuliamsha. TBS  iliyoanzishwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani