Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,kushuka kwa Yuan kutaathiri Afrika?

Masoko ya sarafu duniani yamewekwa katika hali mbaya kwa mara nyengine baada ya Uchina kuiruhusu thamani ya sarafu yake kushuka kwa siku ya pili mfululizo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kushuka kwa elimu Afrika Mashariki, dawa ni umoja

Tukubaliane kwanza kwamba, wazazi wote Afrika Mashariki tungependakuwarithisha watoto na wajukuu zetu elimu na nchi bora zaidi kuliko tulizo nazo hivi sasa .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha

Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara

Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara View this document on Scribd

 

9 years ago

Bongo Movies

Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu

SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake.

Mwakifwamba

Rais wa Taff Mwakifwamba

Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika kwa chombo hicho kilicho chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba ambaye amefanya...

 

9 years ago

GPL

KUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)-2

Wiki iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii na leo nitaimalizia ili wiki ijayo nianze nyingine.Niliishia pale ambapo nilisema kuwa, kupungua kwa homoni ya ‘Estrogen’ kunaweza tu kutokea kwa bahati mbaya au kutokana na matumizi ya muda mrefu ya dawa za homoni bila ya mpangilio maalum. Matatizo mengine yanayosababisha hali hii ni kama vile; Cystocele. Hii ni hali ambayo mwanamke anahisi uvimbe ukeni kwa ndani upande wa juu...

 

9 years ago

GPL

KUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)

Kizazi kimeshikiliwa vizuri sehemu yake kwenye nyonga na misuli, tishu na nyuzinyuzi ngumu ziitwazo ‘ligaments’ ambazo zimejishika kwenye mifupa ya nyonga kwa ujumla ili kuleta uimara. Viungo hivi vinaweza kupoteza uimara wake na kuwa dhaifu kutokana na uzazi au uzazi kuwa na shida. Tatizo hili pia linaweza kuwapata wanawake watu wazima waliofikia ukomo wa kuzaa au ambao kiwango cha vichocheo vya ‘estrogen’ vimepungua...

 

10 years ago

Habarileo

Kushuka, kupanda kwa nauli wiki ijayo

Meneja Mawasiliano wa SUMATRA, David MzirayMAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema hatma ya uamuzi kuhusu iwapo nauli ishuke au la itajulikana wiki ijayo.

 

10 years ago

StarTV

Chanzo kushuka kwa thamani ya shilingi chabainishwa.

Na Ephrasia Mawalla,

Dar es Salaam.

 

 

Waziri Kivuli wa Fedha James Mbatia ameitaka Benki kuu ya Tanzania kuchukua hatua za haraka za kupunguza mzunguko wa Fedha za Kigeni hapa nchini kama njia mojawapo ya kuimarisha shilingi ya Tanzania.

 

Ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, thamani ya shilingi imeshuka kwa asilimia 20, kiwango ambacho kwa mujibu wa Mbatia ni kikubwa.

 

Kwa sasa dola moja ni sawa na shilingi 2010 kutoka shilingi 1650.

 

Mbatia amesema kutokana na kuporomoka haraka kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za kushuka kwa hadhi ya walimu nchini

Miaka ya nyuma ualimu ulikuwa unachukuliwa kama mojawapo ya taaluma zinazoheshimika nchiniMtu kuitwa mwalimu ilikuwa ni fahari na hadhi kubwa  katika jamii. Katika maeneo mengi nchini baadhi ya watu walifikia hatua ya kujulikana kwa jina la Mwalimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani