Je,kushuka kwa Yuan kutaathiri Afrika?
Masoko ya sarafu duniani yamewekwa katika hali mbaya kwa mara nyengine baada ya Uchina kuiruhusu thamani ya sarafu yake kushuka kwa siku ya pili mfululizo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Kushuka kwa elimu Afrika Mashariki, dawa ni umoja
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3534&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
9 years ago
Bongo Movies04 Jan
Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu
SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake.
![Mwakifwamba](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2016/01/Mwakifwamba.jpg)
Rais wa Taff Mwakifwamba
Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika kwa chombo hicho kilicho chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba ambaye amefanya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXtPHCp56bKbkKNo-1kOHjhzpSwlqVks1lvQQsefAvvSPx6P22jwYOqXh**vIIn4ZRZ16vwghdcMlM7o-*7hxVr/m_jpg0427f1.jpeg?width=650)
KUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)-2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxkiKVCpZP3ympuskl0F3FtRr3-f1hxQI7eM1tzQe9OA-CgX7FfiZLYcVAVTNbY2stu9leMNmDaQHPWdO-XZIrCH/UterineProlapseImage2.jpg?width=650)
KUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)
10 years ago
Habarileo10 Apr
Kushuka, kupanda kwa nauli wiki ijayo
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema hatma ya uamuzi kuhusu iwapo nauli ishuke au la itajulikana wiki ijayo.
10 years ago
StarTV04 May
Chanzo kushuka kwa thamani ya shilingi chabainishwa.
Na Ephrasia Mawalla,
Dar es Salaam.
Waziri Kivuli wa Fedha James Mbatia ameitaka Benki kuu ya Tanzania kuchukua hatua za haraka za kupunguza mzunguko wa Fedha za Kigeni hapa nchini kama njia mojawapo ya kuimarisha shilingi ya Tanzania.
Ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, thamani ya shilingi imeshuka kwa asilimia 20, kiwango ambacho kwa mujibu wa Mbatia ni kikubwa.
Kwa sasa dola moja ni sawa na shilingi 2010 kutoka shilingi 1650.
Mbatia amesema kutokana na kuporomoka haraka kwa...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Sababu za kushuka kwa hadhi ya walimu nchini