KUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)
Kizazi kimeshikiliwa vizuri sehemu yake kwenye nyonga na misuli, tishu na nyuzinyuzi ngumu ziitwazo ‘ligaments’ ambazo zimejishika kwenye mifupa ya nyonga kwa ujumla ili kuleta uimara. Viungo hivi vinaweza kupoteza uimara wake na kuwa dhaifu kutokana na uzazi au uzazi kuwa na shida. Tatizo hili pia linaweza kuwapata wanawake watu wazima waliofikia ukomo wa kuzaa au ambao kiwango cha vichocheo vya ‘estrogen’ vimepungua...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLKUSHUKA KWA KIZAZI ( PROLAPSED UTERUS)-2
9 years ago
GPLTATIZO LA KUGEUKA KWA KIZAZI (RETROVERTED UTERUS)
5 years ago
BBC27 Feb
Forced sterilisation in South Africa: They removed my uterus
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
9 years ago
Bongo Movies04 Jan
Kupanda na Kushuka kwa Shirikisho la Filamu
SHIRIKISHO la filamu Tanzania (TAFF) lipo kwa miaka kadhaa huku tukishuhudia changamoto nyingi zinazokabiri shirikisho hilo ambalo pamoja na kuanzishwa kwake ni chombo kisichotengeneza fedha kutokana na vyama vinavyounda TAFF kukosa miradi kama michango kutoka kwa wanachama wake.
Rais wa Taff Mwakifwamba
Taff imekuwepo kitambo lakini imekuwa Lulu baada ya kuanzisha michakato yenye tija kwa wasanii na wadau husika kwa chombo hicho kilicho chini ya Rais wake Simon Mwakifwamba ambaye amefanya...
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Je,kushuka kwa Yuan kutaathiri Afrika?
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Sababu za kushuka kwa hadhi ya walimu nchini
10 years ago
StarTV04 May
Chanzo kushuka kwa thamani ya shilingi chabainishwa.
Na Ephrasia Mawalla,
Dar es Salaam.
Waziri Kivuli wa Fedha James Mbatia ameitaka Benki kuu ya Tanzania kuchukua hatua za haraka za kupunguza mzunguko wa Fedha za Kigeni hapa nchini kama njia mojawapo ya kuimarisha shilingi ya Tanzania.
Ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, thamani ya shilingi imeshuka kwa asilimia 20, kiwango ambacho kwa mujibu wa Mbatia ni kikubwa.
Kwa sasa dola moja ni sawa na shilingi 2010 kutoka shilingi 1650.
Mbatia amesema kutokana na kuporomoka haraka kwa...
10 years ago
StarTV07 Jan
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya Mafuta.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petrol, Dizel na ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja.
comprar kamagra baratoKushuka kwa bei hizo kunatokana na kuporomoka kwa thamani ya dola katika soko la dunia hali iliyosababisha bei ya mafuta kuwa dola 60 kwa pipa moja badala ya dola 100 ya awali.
Akitangaza kushuka kwa bei hizo Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Felix Ngamlagosi amesema...