Jela kwa kumkata kichwa mpenzi wake
Mwanamume aliyemuua kwa kumkata kichwa mpenzi wake amepatikana na hatia ya mauaji nchini Uingereza na kufungwa maisha jela
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Jela kwa kumwibia mpenzi wake
Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemhukumu kifungo cha miezi tisa jela, Haven Robert(24) baada ya kupatikana na hatia ya kumwibia mpenzi wake Sh 3.9 milioni.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Jela kwa kusambaza picha za mpenzi wake
Mwanamume mmoja mjini Los Angeles nchini Marekani, amefungwa jela mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza picha utupu za mchumba wake.
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Jela kwa kumkata mkewe kiganja
>Mahakama ya Wilaya ya Geita jana ilimtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka mitano jela Musa Lutobeka (30) baada ya kupatikana na hatia ya kumkata mkewe kiganja cha mkono wa kushoto na kumsababishia ulemavu wa kudumu.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Ajipeleka jela ili amuone mpenzi wake
Waliosema duniani kuna mambo, hakika hawakukusea. Msichana mmoja amefanya kituko cha aina yake, baada ya kuiba chupa ya mvinyo ili apelekwe jela, ambako angekwenda kukutana na mpenzi wake.
10 years ago
Habarileo02 Mar
Kada wa CCM Rukwa aliyeua mpenzi wake atupwa jela
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imemhukumu aliyekuwa Katibu wa Mwenezi na Itikadi wa CCM Mkoa wa Rukwa, Patrick Maufi (48) kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake bila kukusudia kwa wivu wa kimapenzi.
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mahakamani kwa kumchinja mpenzi wake
Kesi imeanza ya mwanamume anayedaiwa kumuua na kumkatakata vipande mpenzi wake na kuwatumia wanasiasa vipande hivyo kwa posta.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppGFL4YB7qPQKpWZcuWplEk*EGhh4NsMY8KYGFpHzC5LMPPrATzVo09NhrGlm1CyDgJP9vgOfli39CXAShCkKVk/MESSI.jpg?width=600)
MESSI AONYESHA MALAVIDAVI KWA MPENZI WAKE
Lionel Messi akiwa na mpenzi wake Antonella Roccuzzo. Mpenzi wa nyota wa Barcelona, Lionel Messi ametimiza miaka 26, mpenzi wake amelazimika kuungana naye na kusherekea licha ya kwamba timu yake ilipoteza mchezo dhidi ya Real Sociedad. Messi pamoja na kuwa na majonzi lakini hakusita kuonyesha upendo kwa kipenzi chake hicho, Antonella Roccuzzo kwa kuandika kwenye ukuta wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram maneno haya huku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania