Jela kwa kusambaza picha za mpenzi wake
Mwanamume mmoja mjini Los Angeles nchini Marekani, amefungwa jela mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kusambaza picha utupu za mchumba wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Jela kwa kumwibia mpenzi wake
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Jela kwa kumkata kichwa mpenzi wake
10 years ago
Bongo505 Nov
Waziri wa Uganda aagiza Desire Luzinda na boyfriend wake wakamatwe na kushitakiwa kwa kusambaza picha za utupu
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Ajipeleka jela ili amuone mpenzi wake
10 years ago
Habarileo02 Mar
Kada wa CCM Rukwa aliyeua mpenzi wake atupwa jela
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imemhukumu aliyekuwa Katibu wa Mwenezi na Itikadi wa CCM Mkoa wa Rukwa, Patrick Maufi (48) kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake bila kukusudia kwa wivu wa kimapenzi.
10 years ago
Bongo Movies05 May
Shilole Aapa Kutopiga Picha Za Faragha Akiwa na Mpenzi Wake
Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa hatapiga tena picha akiwa faragha na mchumba wake Nuh Mziwanda kwani zimekuwa zikivuja bila yeye kujua na kusababisha adhaulike kwenye jamii.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Shilole alisema alikuwa akifanya hivyo ili badaye akiwa yuko mbali na mpenzi wake apate kuangalia jinsi walivyokuwa wakifurahishana lakini mambo hubadilika zikivuja na hivyo kuwa kwaza mashabiki wake ambao wanaheshimu sanaa...
9 years ago
Bongo504 Sep
Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s72-c/nassawe-650x650.jpg)
PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s640/nassawe-650x650.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BYoRtrTBfuE/VdGJanEiokI/AAAAAAABUBY/B6o_uWvCK8U/s640/flavy-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qP1nRtk1ch4/VdGJdxtRjrI/AAAAAAABUCM/-NHn1jYW84Y/s640/flavy-2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
CloudsFM07 Oct
WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULAWITI NA KUSAMBAZA PICHA MTANDAONI
WASHITAKIWA wanaokabiliwa na mashitaka ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii, wamepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali ambapo walidaiwa kumlawiti mwanaume mwenzao na kumpiga picha kwa madai ya kutaka kulipwa Sh milioni moja.
Washitakiwa hao ni Erick Kasira (39) na Juma Richard (31) ambao wanadaiwa kulawiti sanjari na kupiga picha za tukio hilo.
Wakili wa Serikali Mutalemwa Kishenyi alidai mbele ya Hakimu Mfawidhi Said Mkasiwa kwamba Agosti 23 mwaka huu, maeneo ya...