Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jenista: Kukitokea maafa El Nino, kamati kuwajibishwa

Serikali imesema itawawajibisha wajumbe wa kamati za maafa watakaoshindwa kuchukua hadhari dhidi ya maafa yatakayosababishwa mabadiliko ya tabia ya nchi na mvua za El Nino kwenye maeneo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MHE. JENISTA AAGIZA KAMATI ZA MENEJIMENTI YA MAAFA NCHINI KUWATAKA WANAOISHI KWENYE MAENEO HATARISHI KUHAMA MARA MOJA

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, Kazi na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akitoa maagizo ya utekelezaji kwa Kamati za maafa katika ngazi zote nchini kuhusu tahadhari ya uwezekano wa kuwepo kwa mvua za El- Nino tarehe 22 Desemba,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI ZA MAAFA ZA TAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO WA MENEJIMENTI YA MAAFA


Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.Mwakilishi wa  Mkuu wa Polisi wilaya ya Bukoba, Mkaguzi John Kayunga
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa  mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI ZA MAAFA MKOANI DODOMA WAFANYA TATHMINI YA MPANGO WA KUJIANDAA NA KUKABILIANA NA MAAFA

 Mkuu wa Mkoa Dodoma, Luteni Mstaafu, Chiku Galawa akisisitiza jambo wakati akifungua Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za Chamwino, Kondoa na Mpwapwa mjini Dodoma,  tarehe 12 Septemba, 2015. Mjumbe wa Kamati ya Maafa wilayani Mpwampwa, Shekh, Sabah Seif akisisitiza jambo wakati wa Mkutano wa kujadili Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Halmashauri za...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO


Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nyange, wilayani Kilombero, wakitoa vifaa vyao kwenye makazi yao yaliyozingirwa na maji kutokana na athari ya maafa ya mafuriko. Jumla ya Kaya 250 zilizokuwa zimezingirwa na maji zimeokolewa na kuhifadhiwa shule ya sekondari Nyange.
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI YA MAAFA PEMBA

WAJUMBE wa kamati ya Maafa Wilaya ya Chake Chake na walimu wa skuli za msingi na Sekondari Wilaya hiyo, wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia kwa makini mkakati wa pili wa Taifa wa utetezi wa mawasiliano Zanzibar, huko katika ukumbiwa wa Madungu Sekondari Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)WAJUMBE wa kamati ya Maafa Wilaya ya Chake Chake na walimu wa skuli za msingi na Sekondari Wilaya hiyo, wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia kwa makini mkakati wa pili wa Taifa wa utetezi wa...

 

5 years ago

CCM Blog

WILAYA YA UBUNGO YAZINDUA KAMATI YAKE YA MAAFA

UBUNGO, Dar es Salaam
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Dar es Salaam, imefanya uzinduzu wa Kamati ya Maafa ya Wilaya katika hafla iliyofanyika leo, katika Ukumbi uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, na kufunguliwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic.

Katika uzinduzi huo mwezeshaji alikuwa ni Mratibu wa timu ya Wataalam ya Maafa Mkoa wa Dar es Salaam Dk.Christopher Mnzava na Mratibu  wa maafa Wilaya ya Ubungo Juliana Kibonde

Lengo/kazi ya  kamati hiyo ni Kuhuisha...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA: KAMATI ZA MAAFA ZIUNGANE NA WARATIBU WA KUKABILIANA NA CORONA




Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na ugonjwa wa Corona, ambayo yeye ni Mwenyekiti wake, katika kikao kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Machi 25, 2020. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu).

******************************


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za Maafa katika ngazi za mikoa na wilaya ziungane na waratibu wa kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa kamati watakiwa kuandaa njia mbadala ya kukabiliana na maafa

Wenyeviti wa kamati za maafa na majanga za wilaya wametakiwa  kuwa na njia mbadala za kukabiliana na maafa na majanga kabla hayajatokea badala ya kusubiri mpaka yatokee ndipo wayafanyie kazi.

Aidha wametakiwa pia kutumia sheria na taratibu za vijiji ili kukabiliana na maafa na majanga yayoweza kuzuilika ikiwemo kuzuia shughuli zinazofanywa na binadamu na kuchangia uharibifu wa mazingira.

 mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstafuu Chiku Galawa ameyasema hayo  katika warsha ya kuwasilisha tathmini...

 

5 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WA MAAFA WA SADC KUFANYIKA ZANZIBAR


Na Khadija Khamis Maelezo Zanzibar .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema Mkutano wa Kwanza wa Kamati ya Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Kukabiliana na Maafa wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unatarajiwa kufanyika Zanzibar katika Hoteli ya Madinat al Bahr  Februari 18,2020.

Hayo ameyasema huko katika Ukumbi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ( ZBC. TV) Mnazimmoja wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani