Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ajibu tuhuma za Ridhiwani na ‘unga’

RAIS Jakaya Kikwete amesema ni mkusanyiko wa upuuzi kudai kuwa alishiriki kumwokoa mtoto wake, Ridhiwani, aliyedaiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi. Alisema urais ni taasisi kubwa nchini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo Movies

Nuh Mziwanda Ajibu Tuhuma za Kumtongoza Wema, Shilole Aongea

Baada ya kusambaa sauti ya Nuh Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, muimbaji huyo ameibuka na kukanusha kuwa sauti hiyo sio yake na kumtuhumu Wema kuitengeneza sauti hiyo.

Akizungumza na Bongo5 leo akiwa na mpenzi wake Shilole, Nuh amesema kitendo kilichofanywa na Wema pamoja na timu yake sio cha kistaarabu.

“Mimi nimetake easy, ni mambo ya dunia kwa sababu ni mambo ya dunia ambayo yapo duniani. So wameamua tu kufanya vile sio suala ambalo lipo na sio suala sahihi,” amesema Nuh.

“Ile sio...

 

10 years ago

Vijimambo

Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe



Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua Baaada ya blog hii kuweka Picha zake Hapa zikionyesha Kuwa Mweupe tofauti na zamani...Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya:
“Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua,...

 

11 years ago

GPL

ZITTO AJIBU TUHUMA ZA SUGU KUHUSU UFISADI WA KAMPUNI YA LEKA DUTIGITE LTD KUPITIA KAZI ZA NSSF NA TANAPA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana aliwekwa kwenye kitimoto na Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni, Joseph Mbilinyi aliyemtuhumu kuhusika na kinachoitwa ufisadi katika Shirika la TANAPA na NSSF. Zitto ameamua kujibu tuhuma hizo kupitia Facebook.
Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA: Leo tarehe 29 Mei,...

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Manji ajibu mapigo

>Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amewashangaa wanachama wanaopinga uongozi wake kukaa madarakani kwa mwaka mmoja zaidi na kuwataka kujiorodhesha watakapofikia 1560 atakuwa tayari kuitisha mkutano ili kujiuzulu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani