Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO AJIBU TUHUMA ZA SUGU KUHUSU UFISADI WA KAMPUNI YA LEKA DUTIGITE LTD KUPITIA KAZI ZA NSSF NA TANAPA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana aliwekwa kwenye kitimoto na Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Habari, Michezo, Vijana na Utamaduni, Joseph Mbilinyi aliyemtuhumu kuhusika na kinachoitwa ufisadi katika Shirika la TANAPA na NSSF. Zitto ameamua kujibu tuhuma hizo kupitia Facebook.
Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA: Leo tarehe 29 Mei,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sugu ajibu mapigo ya CCM

BAADA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kumshambulia Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), ukimuita mpangaji katika jimbo hilo, amewajibu akisema kuwa wanaota ndoto za mchana....

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

JK ajibu tuhuma za Ridhiwani na ‘unga’

RAIS Jakaya Kikwete amesema ni mkusanyiko wa upuuzi kudai kuwa alishiriki kumwokoa mtoto wake, Ridhiwani, aliyedaiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi. Alisema urais ni taasisi kubwa nchini...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuh Mziwanda Ajibu Tuhuma za Kumtongoza Wema, Shilole Aongea

Baada ya kusambaa sauti ya Nuh Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, muimbaji huyo ameibuka na kukanusha kuwa sauti hiyo sio yake na kumtuhumu Wema kuitengeneza sauti hiyo.

Akizungumza na Bongo5 leo akiwa na mpenzi wake Shilole, Nuh amesema kitendo kilichofanywa na Wema pamoja na timu yake sio cha kistaarabu.

“Mimi nimetake easy, ni mambo ya dunia kwa sababu ni mambo ya dunia ambayo yapo duniani. So wameamua tu kufanya vile sio suala ambalo lipo na sio suala sahihi,” amesema Nuh.

“Ile sio...

 

10 years ago

Vijimambo

Msanii wa bongo fleva RICH MAVOKO Ajibu TUHUMA za Kujichubua Mwili Mzima na Kuwe Mweupe



Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua Baaada ya blog hii kuweka Picha zake Hapa zikionyesha Kuwa Mweupe tofauti na zamani...Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya:
“Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone” .Rich Mavoko ameongezea kuwa “Hata maisha yangu yamebadilika,so ni kung’aa tu kwa mtu na sio kujichubua,...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF KUFUATILIA MADENI KWA WAAJIRI SUGU

 Baadhi ya viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakibadirishana mawazo nje ya ukumbi. Washiriki wa warsha kuhusu mfuko wa NSSF ambao ni viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .  Washiriki wa warsha ya NSSF kubadirishana mawazo.

Washiriki wakisililiza jambo kutoka kwa mmoja wa watoa mada za NSSF.
Na John Nditi, Morogoro.SHIRIKA  la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka  waajiri wa sekta mbalimbali  nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar yaondolewa tuhuma za ufisadi

Shirikisho la soka duniani FIFA limeilaumu shirikisho la soka la Uingereza kwa kuvunja sheria za kutolewa kwa kibali cha kuandaa mashindano ya kombe la dunia mwaka 2018.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sugu amlipua Zitto

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ameingizwa katika kashfa ya kuwatumia wasanii na kujipatia zaidi ya sh milioni 100. Tuhuma hizo nzito zilitolewa jana bungeni na Msemaji Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi Tanesco, Wachina kizimbani kwa tuhuma za ufisadi

Bukoba.Wafanyakazi wawili wa Tanesco na raia wawili wa China wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Kagera kwa tuhuma za  kutenda makosa kumi na sita na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani