Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK akemea udhaifu, woga wa viongozi

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuacha udhaifu na woga kwa kushindwa kusimamia kikamilifu sheria za utunzaji wa mazingira katika milima ya Uluguru.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji morogoro, awataka viongozi waache woga katika kusimamia sheria

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati wa sherehe za uzinduzi wa mradi huo mkubwa ambao  umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014Sehemu ya jengo la mradi huo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakifunua pazia kuzindua mradi huoRais Jakaya Mrisho Kikwete na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasiasa wetu na woga wa mabadiliko

Kitabu cha Cycles of American kilichotungwa na Arthum Schelesinger Jr kinasema kutokufungwa na mawazo ya kale katika mazingira yanayobadilika kunampa kiongozi wa kidemokrasia nafasi ya kutengeneza vionjo vitamu ili apendwe na kufurahiwa na wengi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK: Acheni woga wa kusimamia sheria

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi nchini kuacha woga na ulegevu katika kusimamia sheria za kulinda mazingira na vyanzo vya maji ambavyo ni namna ya uhakika ya kuwawezesha wananchi kuendelea kupata...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana- Makada CCM acheni woga

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Uzembe, woga vyanzo vya umaskini’

Uzembe, dharau na woga wa kuthubutu kuanzisha miradi ya maendeleo kwa baadhi ya watu, imedaiwa kuwa chanzo cha umaskini kwenye familia nyingi nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wana CCM watakiwa kuacha woga

MUASISI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Leo Lwekamwa, ameibuka na kutoa maoni yake kuhusu muundo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasimu ya pili ya Katiba, kwa kuwataka wanachama wa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Watanzania acheni woga, tendeni haki’

Waumini wa Kanisa la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakitoka kanisani kuhudhuria ibada ya Sikukuu ya Krismasi iliyofanyika kitaifa kanisani hapo jana. (Picha na Fadhili Akida).VIONGOZI wa dini wamewataka Watanzania kutambua kuwa mwaka ujao wa 2015, ni mwaka uliojaa masuala mazito ya kitaifa, hivyo ni wajibu wao kushiriki kikamilifu, kuacha woga na kutenda haki.

 

11 years ago

Mwananchi

Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amewataka wanawake nchini kuacha woga na kujibweteka badala yake wabadilike, wajijengee uwezo na kujitokeza katika fursa mbalimbali za kuwania uongozi.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Kikwete na woga wa kufanya uamuzi mgumu

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akifungua Bunge Maalumu la Katiba wiki iliyopita mjini Dodoma alisema kuwa asingependa kuona muundo wa Serikali tatu ukitokea wakati bado akiwa madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani