Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK alipozindua rasmi mpango wa WESTADI nchini Uingereza

Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media wanakuletea ziara ya Rais Jakaya Kikwete London Tarehe 30.3.1 alipozindua rasmi mpango wa Westadi kutoka shirika la NSSF

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA RAIS KIKWETE ALIPOZINDUA RASMI AZAM TV JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe akiwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara pamoja na uongozi na baadhi ya wafanyakazi wa Azam TV wakati wa sherehe za uzinduzi rasmi wa studio mpya za stesheni hiyo iliyopo Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitangaza rasmi kuzinduliwa kwa studio mpya za stesheni ya Azam TV Tabata Relini jijini Dar es salaam leo Machi 6, 2015. Pamoja naye kwenye kilinge cha utangazaji...

 

10 years ago

Michuzi

Wizara ya afya na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi wazindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya VVU nchini

 Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali,Dkt. Mohamed Ally Mohamed (katikati) akizindua rasmi Ripoti ya tafiti ya hali ya Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kwa Watu wa makundi maalum wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa kuitambulisha Ripoti hiyo,uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Protea Courtyard,jijini Dar es salaam.Wengine pichani ni kutoka kulia ni Mraribu Idadi ya Watu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Neema Makyao,Meneja Msaidizi wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Ukimwi (NACP),Dkt....

 

5 years ago

CCM Blog

MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA AFUTA MPANGO WA KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWAKE

Tarehe 21 Aprili ilikuwa siku ya kutimiza umri wa miaka 94 kwa Malkia Elizabeth II. 
Kwa kawaida mtawala wa Uingereza anasherehekewa siku ya kuzaliwa mara mbili kila mwaka. 
Moja ni siku yake halisi ya kuzaliwa, na nyingine ni siku ya kusherehekea kuzaliwa kwa Malkia iliyowekwa na serikali.
Kutokana na hali mbaya ya maambukizi ya virusi vya Corona, malkia Elizabeth ameamua kufuta sherehe za kutoa heshima ya mizinga mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

NSSF yatambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania waishio Ughaibuni

Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media wanakuletea ziara ya Raisi Jakaya Kikwete London Tarehe 30.3.14 kukutana na watanzania waishio uingereza.
Kabla ya kuwasili kwake mh Rais shirika la NSSF lilipata fursa ya kutambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania wote waishio Ughaibuni ili kuwawezesha kupata unafuu wa kusafirisha mwili au mazishi pale popote alipo mara anapofariki ughaibuni. Pia Bima hio kusaidia matibabu kwa ndugu na jamaa kadhaa...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONDOKA NCHINI VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI NCHINI HUMO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kushoto), Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Mussa Azzan Zungu (kulia), Mbunge wa Tumbe Mhe Rashid Ally Abdallah (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Jenerali (Mst.) Abdulrahman Shimbo muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku sita nchini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muongozo wa uchaguzi nchini Uingereza

Taifa lote la Uingereza limegawanywa katika majimbo 650 ambapo kila jimbo humchagua mbunge wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu nchini Uingereza

Uchaguzi nchini Uingereza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani