JK ataka wagombea zaidi wapitishwe CC
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema ipo haja ya kupanua wigo wa wagombea wanaopitishwa na Kamati Kuu katika kuwania uteuzi wa urais kupitia chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jun
Pinda ataka WanaCCM kutobagua wagombea
MGOMBEA wa Urais kupitia CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wanachama wa chama hicho tawala mkoani Njombe kuendelea kujitokeza kwa wingi na kuendelea kuwadhamini wagombea mbalimbali waliochukua fomu na watakaochukua fomu za kugombea nafasi ya Urais bila kubagua mgombea yoyote.
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Askofu ataka viongozi wa dini waache upambe kwa wagombea
10 years ago
Habarileo19 Nov
Ataka siku zaidi mjadala wa Escrow
MBUNGE wa Mtera, Livingston Lusinde (CCM), ametaka kutengwa siku zaidi ya moja za kujadili ripoti ya sakata la akaunti ya Tegeta Escrow bungeni.
9 years ago
Habarileo01 Nov
Pinda ataka uwekezaji zaidi ufugaji wa asali
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametaka kuongezwa kwa uwekezaji katika eneo la uzalishaji asali ili sekta hiyo itoe mchango unaostahili katika uchumi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini (TABEDO) juzi, Pinda alisema sekta hiyo ikipewa kipaumbele zaidi uzalishaji utaongezeka na hivyo kutoa mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kutokana na Tanzania kuwa na maeneo mengi yanayofaa kwa ajili ya ufugaji nyuki.
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Pinda ataka watafiti wa ndani watumiwe zaidi
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa changamoto kwa taasisi mbalimbali hasa za serikali nchini kuwaamini na kuwatumia watafiti wa ndani badala ya kukimbilia kutumia wa nje ambao amesema mara nyingi huwa...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU
![](http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/05/ban-sg-4.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, amesema, ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika operesheni za ulinzi wa Amani umekuwa wa mafanikio makubwa katika urejeshwaji wa hali ya amani na utulivu katika maeneo yenye migogoro.Hata hivyo amesema pamoja na mafanikio hayo kuna umuhimu wa ushirikiano huo kuboreshwa zaidi na kuwa wenye tija .Alikuwa akizungumza wakati wa majadiliano ya...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Nooij ataka umakini zaidi Taifa Stars
10 years ago
Habarileo08 May
Nyalandu ataka nguvu zaidi dhidi ya majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka askari wa Wanyamapori nchini na watendaji wa wizara yake kuongeza nguvu zaidi kwenye mapambano dhidi ya ujangili.
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mbowe ataka siku zaidi kukagua taarifa za BVR
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku tatu zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwa waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura katika mfumo wa (BVR) kuhakiki taarifa zao kuwa hazitoshi.