JK awasafisha mawaziri waliotimuliwa na Bunge
>Baada ya kimya cha muda mrefu, hatimaye Ikulu imewasafisha mawaziri wanne walioshinikizwa na Bunge kujiuzulu kutokana na kuhusishwa na sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini waliohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Mbunge Kafulila ‘awasafisha’ maaskofu
11 years ago
Habarileo01 May
Waliotimuliwa Maliasili warejeshwa kazini
VIGOGO wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Mawaziri wakwamisha Bunge la Katiba
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Esther Mbussi na Fredy Azzah, Dodoma
WAKATI vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini Dodoma, uamuzi wa kamati umeshindwa kuafikiwa, MTANZANIA limebaini.
Kutokana na hali hiyo, idadi kubwa ya wajumbe kutoka Tanzania bara wengi wao wakiwa mawaziri, hawahudhurii vikao vya kamati vinavyoendelea.
Mbali na wajumbe hao, imebainika pia zaidi ya wajumbe 80 ambao hawatoki kwenye kundi linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawajaripoti kwenye Bunge hilo tangu lilipoanza...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Machinga waliotimuliwa Kariakoo, Mbagala warejea
LICHA ya kuondolewa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa jijini Dar es Salaam, wafanyabiashara waliokuwa wakifanya shughuli zao katika maeneo hayo, wameonekana kurudi.
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Waliotimuliwa na Mwakyembe wang’ang’aniwa
SIKU moja baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kuwatimua wafanyakazi 13 kutoka wizara tatu tofauti, waliokuwa wakifanya kazi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), mawaziri...
10 years ago
Habarileo21 Aug
CCM yabana mawaziri Bunge Maalum
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, KAMISHNA TRA WALIPOTEMBELEA SHULE YA WASICHANA BUNGE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aO5vz8FcUJs/XoX-_PQhr4I/AAAAAAAC83E/4Kt2jao1l7gfKNBRObdJU6Y-3_RlsCvqACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vZH8C4fYdbk/XoX-_MenScI/AAAAAAAC83A/RsqprOr-lrwsBQmZwBql05Jd_X2YHE0XQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)