Mbunge Kafulila ‘awasafisha’ maaskofu
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ‘amewasafisha’ viongozi wa dini waliotajwa kupokea mgawo wa fedha za escrow, akisema kuwa hapakuwa na namna viongozi hao wangesaidia upatikanaji wa fedha hizo kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Kafulila: Mimi si mbunge wa mahakama
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amekana kuwa mbunge wa mahakama akisema tayari alikwishamaliza tofauti kati yake na chama chake. Desemba 19, 2011 Halmashauri Kuu (NEC) ya NCCR-Mageuzi, alimvua...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6DO1fQm6z8/VHGEnrI-odI/AAAAAAAGy_w/P6rZUPGaYzo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8aKAthr2vPI/VHGEnpwKX9I/AAAAAAAGy_4/gLaVveSzvjY/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
Mwananchi09 May
JK awasafisha mawaziri waliotimuliwa na Bunge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCA28BBHns0swsFZHC3T3t8A-DQmpWcRlTRre8zKRth3aNxFw4-FzwgSiKS-UpETn6Y2IFlht85p7JdorqAt6hNA/askofu.jpg)
MAASKOFU WAPATANISHWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pg1AAUh2cSerLPiMAOrbIxeLt*YoMJ-Oo57wYaiiawYKfdl8u4oeHOdQ6I*uO2nOY9ocI4rWSk8Z0elhwHkYnj/mimi.jpg)
MAASKOFU, FREEMASON...
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Sitta: Maaskofu ni Ukawa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta-October2-2014.jpg)
Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Migiro awavaa maaskofu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro amewajibu maaskofu akisema Serikali haiko tayari kuona wananchi wanafundishwa jinsi ya kupiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa.
Amesema ni muhimu wananchi waachwe waamue kwa utashi wao wenyewe.
Dk. Migiro amesema Serikali inaunga mkono tamko lililotolewa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kuhusu mustakabali wa Katiba na si makundi ya watu na...
10 years ago
Habarileo02 Oct
Maaskofu wamkera Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Pengo atofautiana na maaskofu