Kafulila: Mimi si mbunge wa mahakama
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amekana kuwa mbunge wa mahakama akisema tayari alikwishamaliza tofauti kati yake na chama chake. Desemba 19, 2011 Halmashauri Kuu (NEC) ya NCCR-Mageuzi, alimvua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Kafulila afungua kesi Mahakama Kuu Tabora
Na Murugwa Thomas, Tabora
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila kupitia Chama cha NCCR – Mageuzi, amefungua kesi Mahakam Kuu Kanda ya Tabora kupinga ushindi wa Hasna Mwillima wa Chama Cha Mapindunzi (CCM), aliyetangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Kafulila amewasilisha pingamizi hilo jana kupitia kwa wakili wake, Daniel Lumenyela, huku akiwa ameambatanisha nakala za fomu za matokeo ya kura ya vituo vyote 382 vya jimbo hilo ambazo...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Mbunge Kafulila ‘awasafisha’ maaskofu
11 years ago
Mwananchi21 Jul
IPTL yaomba Mahakama Kuu Dar imfunge mdomo Kafulila
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s72-c/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM IMETUPILIA MBALI KESI YA IPTL DHIDI YA DAVID KAFULILA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DF8HjKFnjSI/VbuCoI7q1DI/AAAAAAABS9k/E3SGZLvSFqo/s640/davidKAFULILA.jpg)
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi namba 301 iliyofunguliwa na Kampuni ya kufua Umeme ya IPTL, PAP pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya PAP Bw Harbinder Singh Sethi dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila kwa madai kuwa Kafulila alichafua jina kampuni hizo na muhusika huyo kwamba walichota zaidi ya 300bn kwenye akaunt ya Tegeta escrow kinyume cha sheria na taratibu.
Katika shauri hilo, Kampuni ya IPTL,PAP na Herbinder Singh Sethi walitaka Mahakama...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Lema: Mimi Mbunge wa milele Arusha
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema ametamba kuwa yeye ni Mbunge wa milele katika jimbo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6DO1fQm6z8/VHGEnrI-odI/AAAAAAAGy_w/P6rZUPGaYzo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8aKAthr2vPI/VHGEnpwKX9I/AAAAAAAGy_4/gLaVveSzvjY/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
Habarileo01 May
Mahakama yamkamua mbunge matunzo ya mtoto
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru Mbunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) kutoa Sh 200,000 kila mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto wake wa kiume, mwenye umri wa miaka mitatu na nusu, anayedaiwa kumtelekeza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YrtQDIlRVJU/Xs-COYu25UI/AAAAAAALr00/7Qi37PD-jSY-Z7uDznoOpzh-FHoZuStGgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
MBUNGE WA KAWE ANAKESI YA KUJIBU-MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YrtQDIlRVJU/Xs-COYu25UI/AAAAAAALr00/7Qi37PD-jSY-Z7uDznoOpzh-FHoZuStGgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ametoa uamuzi huo leo Mei 28, 2010 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi.
Hatua hiyo imekuja baada ya Februari 20, mwaka huu upanda wa mashtaka kufunga ushahidi wao kufuatia mashahidi watatu waliofika mahakamani hapo kutoa ushahidi ambao...