Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliotimuliwa Maliasili warejeshwa kazini

VIGOGO wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(kulia) na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori(TAWA), Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi na Hifadhi za Taifa(TANAPA) jana mara baada ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo.Waziri wa Maliasili na Utalii...

 

10 years ago

Mwananchi

JK awasafisha mawaziri waliotimuliwa na Bunge

>Baada ya kimya cha muda mrefu, hatimaye Ikulu imewasafisha mawaziri wanne walioshinikizwa na Bunge kujiuzulu kutokana na kuhusishwa na sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini waliohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Habarileo

Machinga waliotimuliwa Kariakoo, Mbagala warejea

LICHA ya kuondolewa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa jijini Dar es Salaam, wafanyabiashara waliokuwa wakifanya shughuli zao katika maeneo hayo, wameonekana kurudi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliotimuliwa na Mwakyembe wang’ang’aniwa

SIKU moja baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kuwatimua wafanyakazi 13 kutoka wizara tatu tofauti, waliokuwa wakifanya kazi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), mawaziri...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi walioolewa warejeshwa shuleni

HALMASHAURI ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha, i m e f a n i k i w a kuvunja ndoa bubu za wanafunzi wawili wa shule ya msingi walioachishwa shule na kuolewa na kuwarejesha shuleni na kuendelea na masomo yao mwaka 2015.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC,imewarejesha nchini Demokrasia ya Congo, waasi wawili, Thomas Lubanga na Gemain Katanga.

 

9 years ago

Habarileo

Washindani wa Makamba, Filikunjombe warejeshwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliosimamishwa kazi na Nyalandu warejeshwa

Agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu la kuwasimamisha kazi vigogo wa Idara ya Wanyamapori kwa kwenda kinyume na maadili ya kazi limetenguliwa baada wakurugenzi hao kurejeshwa katika nyadhifa zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani