Waliosimamishwa kazi na Nyalandu warejeshwa
Agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu la kuwasimamisha kazi vigogo wa Idara ya Wanyamapori kwa kwenda kinyume na maadili ya kazi limetenguliwa baada wakurugenzi hao kurejeshwa katika nyadhifa zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d3cQSRrXAbjmirySs27ppynG45xI*VqrRE-hvihSeNYdPm1EZDS9yqU*iENuvoPiS02Rb3*kDhuA8HbAd8OL0Gi/faraja.jpg?width=650)
FARAJA KOTA: SIINGILII KAZI ZA NYALANDU
9 years ago
Habarileo30 Dec
Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi
WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.
11 years ago
Mwananchi12 Jul
Nyalandu aifanyia kazi video ya Mch Msigwa
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka Urambo
SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne....
11 years ago
Habarileo01 May
Waliotimuliwa Maliasili warejeshwa kazini
VIGOGO wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Ebola:Wagonjwa warejeshwa nyumbani
9 years ago
Habarileo20 Dec
Wanafunzi walioolewa warejeshwa shuleni
HALMASHAURI ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha, i m e f a n i k i w a kuvunja ndoa bubu za wanafunzi wawili wa shule ya msingi walioachishwa shule na kuolewa na kuwarejesha shuleni na kuendelea na masomo yao mwaka 2015.
9 years ago
Habarileo02 Sep
Washindani wa Makamba, Filikunjombe warejeshwa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.