Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliosimamishwa kazi na Nyalandu warejeshwa

Agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu la kuwasimamisha kazi vigogo wa Idara ya Wanyamapori kwa kwenda kinyume na maadili ya kazi limetenguliwa baada wakurugenzi hao kurejeshwa katika nyadhifa zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FARAJA KOTA: SIINGILII KAZI ZA NYALANDU

Na Imelda Mtema
MISS Tanzania 2004, Faraja Kota amefunguka kuwa kamwe hawezi kuingilia kazi za mumewe ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwani anaamini mumewe ana akili nyingi kuliko yeye. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. Akizungumza na paparazi wetu, Faraja alisema siyo rahisi kuingilia kazi za mume wake zaidi ya kuzungumza naye kidogo sana kama kuna kitu amekiona anaweza kumshauri kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi

WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.

 

11 years ago

Mwananchi

Nyalandu aifanyia kazi video ya Mch Msigwa

>Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza kufuta vitalu vyote vilivyokuwa chini ya Kampuni ya Green Miles Safaris Ltd kutokana na kukiuka sheria za uwindaji nchini, huku akiifuta Idara ya Wanyamapori.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka Urambo

SERIKALI imetuma kikosi maalum cha askari wa kupamba na ujangili Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora ili kukabiliana na nyoka aina ya Koboko ambao hadi sasa wamesababisha vifo vya watu wanne....

 

11 years ago

Habarileo

Waliotimuliwa Maliasili warejeshwa kazini

VIGOGO wa Wizara ya Maliasili na Utalii, waliotimuliwa kazi hivi karibuni na Waziri Lazaro Nyalandu, wamerejeshwa kazini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Lubanga na Katanga warejeshwa Congo Dr

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC,imewarejesha nchini Demokrasia ya Congo, waasi wawili, Thomas Lubanga na Gemain Katanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wagonjwa warejeshwa nyumbani

Shirika la MSF linasema limezidiwa na idadi ya wagonjwa wa Ebola kiasi kwamba wanalazimika kuwarudisha wagonjwa nyumbani

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi walioolewa warejeshwa shuleni

HALMASHAURI ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha, i m e f a n i k i w a kuvunja ndoa bubu za wanafunzi wawili wa shule ya msingi walioachishwa shule na kuolewa na kuwarejesha shuleni na kuendelea na masomo yao mwaka 2015.

 

9 years ago

Habarileo

Washindani wa Makamba, Filikunjombe warejeshwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imekubali rufani 13 zilizokatwa na wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, huku majimbo 10 ambayo wagombea wake walipita bila kupingwa, imewarejesha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani