JK, Nkurunziza wazindua treni za mizigo kwenda Burundi, Uganda na DR Congo
Rais Jakaya Kikwete na mwenzake Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi wamezindua safari za treni tatu za mizigo ‘block train’ kutoka Dar es Salaam kwenda Burundi, Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma
Zaidi ya abiria 1,000 waliokuwa wakisafiri kwa treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani ya Kigoma na Mwanza wamekwama mkoani hapa baada ya treni ya mizigo kuanguka kati ya Kituo cha Itigi na Kitalaka.
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.
10 years ago
GPLTRENI LA MIZIGO LAPATA AJALI DAR
Treni la mizigo baada ya kupata ajali. TRENI la mizigo limepata ajali eneo la Vingunguti jijini Dar es Salaam muda mfupi uliopita na kuangusha mabehewa yaliyokuwa na makontena ya Azam na Mohamed Enterprises. Makontena yaliyokuwa yamebebwa na treni hilo la mizigo. Kikosi cha Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) tayari kimefika eneo la tukio kuimarisha ulinzi wa mali zilizokuwemo katika mabehewa hayo.… ...
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Treni za mizigo kuanza kazi kwa nchi za EAC
Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wiki ijayo wanatarajia kuzindua treni ya mizigo ‘block train’ kutoka jijini hapa kwenda nchi wanachama kwa kutumia reli ya kati.
11 years ago
GPLTRENI YA MIZIGO YAPATA AJALI ENEO LA GULWE WILAYA YA MPWAPWA
Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa Wilayani Mpwampwa.
Sehemu ya mabehewa ya mafuta na ngano ambayo hayakusombwa na maji katika ajali iliyotokea usiku wa...
11 years ago
MichuziTreni ya mizigo yapata ajali eneo la Gulwe Wilaya ya Mpwawa,Dodoma
Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa Wilayani Mpwampwa.
Sehemu ya mabehewa ya mafuta na ngano ambayo hayakusombwa na maji katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika stesheni ya Gulwe, hiyo imetokea saa 9.15...
9 years ago
Bongo523 Sep
Ethiopia wazindua treni ya kisasa mjini Addis Ababa
Huduma ya treni ya kisasa imezinduliwa rasmi September 21 jijini Addis Ababa, Ethiopia. Mradi huo mkubwa uliogharimu dola za kimarekani milioni 470 ulifadhiliwa na China Exim. Siku ya Jumapili ilikuwa nzuri kwa wakazi wa Addis Ababa kwani walipata usafiri wa bure wakati wa uzinduzi wa treni hiyo ya kisasa. Treni hiyo itakuwa ikibeba watu 15,000 […]
11 years ago
Habarileo07 Jan
Treni kwenda Bara yaahirishwa
TRENI ya abiria ya kutoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya Bara, iliyokuwa iondoke leo imeahirishwa, kutokana na ajali ya treni ya mizito iliyotokea juzi usiku katika stesheni za Luiche na Kigoma.
11 years ago
Michuzi28 Mar
wawili wapoteza maisha, saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya ajali ya treni ya mizigo gulwe, dodoma
Mnamo tarehe 27.03.2014 majira ya saa 02:10 usiku huko Gulwe katika Wilaya ya Mpwapwa kulitokea ajali ya treni ya mizigo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Kigoma baada ya kusombwa na mkondo wa maji ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kutokana na wingi na nguvu ya maji hayo ilifanya kichwa cha treni hiyo kutumbukia kwenye mto Mimo.
VIFO: Ajali hiyo hadi hivi sasa imesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefahamika kwa majina yafuatayo:- 1. Felix s/o Kalonga 2. Ismail @...
VIFO: Ajali hiyo hadi hivi sasa imesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefahamika kwa majina yafuatayo:- 1. Felix s/o Kalonga 2. Ismail @...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania