JOHNNY KUTAFUTWA LIVE UWANJA WA TAIFA DAR AGOSTI 8, 2014
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRqVElTVLC8kRErgJDD5F6rqzBnfIB8ZGxbwhI1tRkbPAbBLImat1I28BDolTpOEi1jZDVINI9RL5V6TL3Yjv1Y/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI... YEMI ALADE KUMSAKA JOHNNY UWANJA WA TAIFA
10 years ago
GPLMKESHA MKUU WA KULIOMBEA DUA TAIFA KUFANYIKA DESEMBA 31-2014 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXyDjTHfQYWxMr5ZwBK2pd00LoodPwAeWdSO5vPrzKpP51h3jQ9nDClAaLT9GYngzSmK9nRIWOEgPWJntAWK3bYK/3n.o.h3.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE UWANJA WA TAIFA DAR
11 years ago
GPL09 Aug
SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Night Of Hope 2014: Upendo Nkone akitoa matumaini ndani ya uwanja wa Taifa Dar
Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.
Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.
Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia tamasha hilo.