Joy as Umati turns 55
Dar es Salaam. The government targets to reach 60 per cent family planning users among women of the reproductive age by the end of next year, a deputy minister has said.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Aug
Picha za umati Ukawa zamshtua JK
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete ameonyesha kuhofia nguvu ya upinzani, baada ya kudai picha zinazotolewa na vyombo mbalimbali vya habari zikionyesha mahudhurio makubwa ya wananchi katika mikutano ya hadhara ya mgombea wa urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chadema, Edward Lowassa si halisi.
Licha ya Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutomtaja moja kwa moja Lowassa, alidai picha za mgombea huyo ambazo zinaonyesha umati...
11 years ago
Michuzi.jpg)
UMATI- “KUPIGA HODI BUNGENI”
Akiongea na vyombo vya habari Jijini Mwanza mkurugenzi mtendaji wa UMAT Tanzania, Lulu Ng’wanakilala, alisema kama UMAT wanadhamiria kwenda Bungeni wakati Wizara zinazohusika na masuala ya uzazi na Malezi zitakapokuwa zikiwasilisha bajeti zao...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Mkapa, Kagame wavutia umati Uwanja wa Taifa
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Umati kutoa huduma za upimaji saratani bure
CHAMA cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (Umati) kimewashauri wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji wa maradhi.
Miongoni mwa maradhi hayo ni ya ukosefu wa kinga mwilini (Ukimwi), saratani ya shingo ya kizazi na huduma za uzazi wa mpango katika banda la Umati kwenye Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF).
Ushauri huo umetolewa na Ofisa Habari wa Umati, Josephine Mugishagwe, aliyesema huduma za upimaji wa afya bure zinatolewa, hivyo ni vyema...
10 years ago
GPLUMATI WA WAFUASI WA SHEIKH PONDA WAFURIKA MAHAKAMANI MORO
10 years ago
GPL
10 years ago
VijimamboUMATI MKUBWA WAMZIKA MAMA YAKE MZAZI KHAMIS MGEJA
baadhi ya umati wa kinamama waliofika nyumba kwa kwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga baada ya kupata msiba wa kufiwa na mama yake mzazi marehemu bibi Halima Nchimika.
11 years ago
GPLUMATI WA WAJITOKEZA KUMKUMBUKA MANGWEA MWAKA BAADA YA KIFO CHAKE
9 years ago
TheCitizen11 Dec
Joy for new Cabinet members