Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joy as Umati turns 55

Dar es Salaam. The government targets to reach 60 per cent family planning users among women of the reproductive age by the end of next year, a deputy minister has said.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Picha za umati Ukawa zamshtua JK

kkNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Jakaya Kikwete ameonyesha kuhofia nguvu ya upinzani, baada ya kudai picha zinazotolewa na vyombo mbalimbali vya habari zikionyesha mahudhurio makubwa ya wananchi katika mikutano ya hadhara ya mgombea wa urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chadema, Edward Lowassa si halisi.

Licha ya Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutomtaja moja kwa moja Lowassa, alidai  picha za mgombea huyo ambazo zinaonyesha umati...

 

11 years ago

Michuzi

UMATI- “KUPIGA HODI BUNGENI”

Chama cha uzazi na malezi bora nchini UMAT, Tanzania kimeazimia kwenda Bungeni Mjini Dodoma kwa ajili yakuwakilisha mambo mbali mbali yanayo kikabili chama hicho, ikiwapo kuongea na mlezi wao ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akiongea na vyombo vya habari Jijini Mwanza mkurugenzi mtendaji wa UMAT Tanzania, Lulu Ng’wanakilala, alisema kama UMAT wanadhamiria kwenda Bungeni wakati Wizara zinazohusika na masuala ya uzazi na Malezi zitakapokuwa zikiwasilisha bajeti zao...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa, Kagame wavutia umati Uwanja wa Taifa

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa jana alikuwa kivutio kwa wananchi katika sherehe za kuapishwa Rais Dk John Magufuli, ikiwa ni mara ya kwanza kuonekana kwake hadharani tangu azushiwe kifo mtandaoni.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Umati kutoa huduma za upimaji saratani bure

CHAMA cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (Umati) kimewashauri wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji wa maradhi.

Miongoni mwa maradhi hayo ni ya ukosefu wa kinga mwilini (Ukimwi), saratani ya shingo ya kizazi na huduma za uzazi wa mpango katika banda la Umati kwenye Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF).

Ushauri huo umetolewa na Ofisa Habari wa Umati, Josephine Mugishagwe, aliyesema huduma za upimaji wa afya bure zinatolewa, hivyo ni vyema...

 

10 years ago

GPL

UMATI WA WAFUASI WA SHEIKH PONDA WAFURIKA MAHAKAMANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kusubiri kesi ya kiongozi huyo.…

 

10 years ago

Vijimambo

UMATI MKUBWA WAMZIKA MAMA YAKE MZAZI KHAMIS MGEJA


 baadhi ya umati wa kinamama waliofika nyumba kwa kwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa shinyanga baada ya kupata msiba wa kufiwa na mama yake mzazi  marehemu  bibi Halima Nchimika.

 Mwenye shati la kijani ni  mh mbunge wa kishapu serelemani nchambi  akiwa mchanga katika kaburi la mama yake mzazi marehemu bibi halima nchamika katika makabuli ya uwindini mjini kahama . Waziri mkuu mstafu Edward lowasa  akisalimiana na mama yake mzazi bibi halima nchimika wakati wa uhai wake mjini kahama wakati waziri...

 

11 years ago

GPL

UMATI WA WAJITOKEZA KUMKUMBUKA MANGWEA MWAKA BAADA YA KIFO CHAKE

Rafiki kipenzi wa marehemu Ngwea, Dark Master (kutia), akirap.
Inspector Harun (kushoto) na KR wakilishambulia jukwaa.
Baadhi ya mashabiki toka Mkoa wa…

 

9 years ago

TheCitizen

Joy for new Cabinet members

Some of the new ministers who were yesterday appointed by President John Magufuli welcomed their appointment to run the dockets with joy.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani