Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jukwa la Katiba wakunwa uteuzi wa Majaliwa

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limepongeza uteuzi wa Waziri Mkuu uliofanywa na Rais John Magufuli kwa kumteua Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wananchi, wasomi wasifu uteuzi wa Majaliwa

KUTOKANA na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, watu kutoka kada tofauti katika jamii wameupongeza uteuzi huo. Jana, Rais John Magufuli kupitia Bunge, alitangaza uteuzi wa Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Bunge lilithibitisha uteuzi wake kwa kura nyingi.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Mbeya waunga mkono Uteuzi Wa Kassim Majaliwa

Wakazi wa mkoa wa Mbeya wamesema wamefurahishwa na uteuzi wa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa sababu ni kiongozi muadilifu, mfuatiliaji na asiyekuwa na makundi ndani ya chama na Serikali.

Wamesema, sifa hizo ndizo zitakazomuwezesha Waziri Mkuu Mteule Majaliwa kuongoza shughuli za Serikali na kuwasimamia Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Watendaji wa Halmashauri zote nchini bila kuegemea upande wowote kwa maslahi ya watu wachache, bali atazingatia maslahi ya umma.

Katika mahojiano...

 

11 years ago

Habarileo

Uteuzi Katiba umetulia

Mchungaji Christopher MtikilaWASOMI na wanasiasa nchini wameupongeza uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na kueleza kuwa Rais Jakaya Kikwete kwa kusaidiana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, ametumia busara kuwajumuisha wapingaji na wakosoaji wa kila jambo, ili wakatetee hoja zao katika bunge hilo kama watakavyofanya wawakilishi wa makundi mengine.

 

9 years ago

CCM Blog

PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA

 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa
Mke wa waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa

 

11 years ago

Mwananchi

JK kukamilisha uteuzi wa Bunge la Katiba

Rais Jakaya Kikwete, wiki ijayo atakamilisha uteuzi wa majina ya wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, uteuzi unaoashiria kuanza kwa bunge hilo litakalokuwa na wajumbe 640.

 

11 years ago

Mwananchi

Uteuzi Wajumbe Bunge la Katiba wapondwa

Siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa majina ya Wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, wasomi, wanasiasa na wanaharakati wameuponda wakisema umependelea wanasiasa, badala ya wananchi walio nje ya mfumo huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JUKATA yalalamikia uteuzi Bunge la Katiba

JUKWAA la Katiba (JUKATA) limesema uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete umewapendelea zaidi makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uteuzi huo uliotangazwa mwishoni...

 

11 years ago

GPL

UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Wanahabari wakimsikiliza  Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhe.  Florence Turuka akitangaza majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la katiba  yakitangazwa jioni hii katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Mawasiliano Ikulu jijini Dar es Salaam. Bunge la Katiba litakalokuwa na wajumbe 640, litakutana kwa siku 70 (na kuongezewa siku 20 kama hawatoafikiana)  kujadili Rasimu ya Katiba iliyotolewa na...

 

11 years ago

Habarileo

ALAT walia kuachwa uteuzi Bunge la Katiba

JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imedai haikutendewa haki kwa kutoshirikishwa na kupewa nafasi ya uwakilishi katika Bunge Maalumu la Katiba. Madai hayo yametolewa wakati ambapo tayari Bunge hilo limeanza rasmi mkutano wake mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani