JUKWAA LA SHERIA: Nafasi ya ndugu katika umiliki wa mali za familia
Mali za familia ni mali zilizopatikana katika muktadha wa familia kwa maana ya chini ya Muunganiko wa mume na mke ambao umepelekea kuzaliwa kwa watoto au ongezeko la watu wengine katika familia hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Sheria ya umiliki ardhi invyomsaidia mwanamke kupata haki ya umiliki
Serikali inafanya nini kuhakikisha sheria ya umiliki wa ardhi inawafaidisha wanawake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjIV-zhPCTm52WNMac31xApFOmKnzuGcdVU9WcGfVPa3GWOaH3lRXrXDfNCV1wbgI3b9cYqozhzz*7CO0pRbZKpR/7.jpg)
NAFASI YA NDUGU KATIKA PENZI LAKO
TAMADUNI za kiafrika, zimeleta athari kubwa sana katika jambo hili, ingawa katika hali ya kawaida, linatazamwa kama ni dogo, lisilo na athari, tofauti na uhalisia wake. Watu wanaliona ni suala la kawaida, la kupuuziwa tu, wakati kiukweli, linatakiwa kutazamwa kwa macho yote. Kimila, kimazoea na kiutamaduni imetufanya kulifanya jambo hili kuwa la kifamilia. Ndugu wamekuwa na nguvu kubwa katika uhusiano wetu. Ni ngumu kwa mfano,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8rx2VmZORMA/U1ws8VsSyMI/AAAAAAAFdO4/TQHouH2SyFU/s72-c/kitchen+515.jpg)
MWASITI, SHAA NA KHADIJA OMARI KOPA KUWASHA MOTO KATIKA JUKWAA LA FAMILIA KITCHEN PARTY GALA
wasanii wa kike watatu wanao tamba katika tasinia ya muziki nchini shaa, mwasiti na khadija omari kopa wanatalajia kupamba tamasha la jukwaa la wanawake lijulikanalo kama familia kitchen part gala litakalo fanyika jijini dar es salaam siku ya kesho katika ukumbi wa diamond jubilee chini ya women in balance chini ya udhamini wa shirika la psi tanzania.
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...
mratibu wa jukwaa hilo vida mndolwa amesema jukwaa hilo limelenga kutoa elimu mbalimbali hususani uzazi wa mpango na upimaji wa saratani ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yUbqO8n5VQ0/XqAY8ncwsoI/AAAAAAAAHFo/CMvH89StCgwADMXJg5XK469u2-1kbLjdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA
NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa pole kwa familia 21 zilizopata msiba uliotokana na ajali ya basi iliyotokea maeneo ya kilimahewa wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kuwataka wananchi kuchukua taadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona. Akizungumza na wanafamilia hao aliowatembelea kuwapa pole katika kata saba za Wilaya ya Mkuranga, Ulega aliwapatia kiasi zaidi ya Sh.milioni moja na unga kwa familia hizo za marahemu. ...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema hahusiki na madai mbalimbali yanayotolewa dhidi yake yakiwamo ya kuwasaidia baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi.
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
‘Serikali isimamie sheria umiliki wa ardhi’
SERIKALI imetakiwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni za umiliki wa ardhi ili kuondoa changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo uvunjifu wa amani na umwagikaji wa damu. Mkurungezi wa Taasisi ya...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
JUKWAA LA SHERIA : Madhara ya kutojua sheria
Kuna msemo wa kilatini unaosema “Ignoracia juris, non excusat†wenye maana kwa Kiingereza; “ignorance of law is not an excuse†na tafsiri ya Kiswahili, twaweza kusema: “Kutojua sheria siyo utetezi au kutojua sheria haiwezi kuwa kinga ya kukufanya usichukuliwe hatua za kisheria kama umetenda kosaâ€
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--yOPCUfaXz4/Vfhhm5cuQII/AAAAAAAAFoE/nh6ZtcCmVbE/s72-c/washiriki.jpg3.jpg)
WANAWAKE WA MKOA WA IRINGA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA SHERIA YA UMILIKI WA ARDHI NA UONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/--yOPCUfaXz4/Vfhhm5cuQII/AAAAAAAAFoE/nh6ZtcCmVbE/s640/washiriki.jpg3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SHv2uWBPOKI/VfhhID2pQxI/AAAAAAAAFn8/p60XWob3gwQ/s640/darasa.jpg)
Alisema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania