Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KABAYSER: Ukiwasoma mashabiki hupati shida

UBUNIFU ni moja ya silaha muhimu kwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, maarufu kama Bongo Fleva, hii ni kutokana na ushindani unaolikabili soko la muziki huo baina ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HUPATI MLO KAMILI? JUA JINSI YA KUJAZIA!

NI kipindi cha kuukaribisha mwaka mpya 2014 na kuuaga 2013. Katika kipindi hiki ni desturi yetu kuwanunulia tuwapendao zawadi na pengine hata kujinunulia wenyewe kama ishara ya kutakiana maisha mema na yenye afya tele. Kuna zawadi nyingi za kumnunulia umpendae lakini pengine inayoweza kuwa na thamani kubwa na yenye mvuto kwa kipindi hiki ni lishetiba au kwa jina lingine ‘food supplement’ kwa sababu utakuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka wa shida

>Hali ya jiji la Dar es Salaam jana ilizidi kuwa mbaya kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuwaweka wakazi kwenye hali ngumu zaidi baada ya kukumbwa na matukio mengine makubwa yaliyoathiri jiji na sehemu nyingine kote nchini tangu kuanza kwa mwaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Wiki ya shida

Ni wiki ya shida. Wiki hii inatarajiwa kuwa ya vikao mfululizo na mijadala isiyokoma. Ndiyo wiki inayotarajiwa kuuweka hadharani mtikisiko wa tano katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wakati ripoti ya uchunguzi wa sakata la IPTL itakapowasilishwa rasmi kwa wabunge na Taifa kwa jumla mjini Dodoma keshokutwa na kuhitimisha minong’ono na uvumi.

 

9 years ago

StarTV

Ni shida Man U ya Ua

Mashetani wekundu, Manchester United wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji katika mechi ya kwanza ya raundi ya mwisho ya mchujo wa Uefa Champions League iliyopigwa usiku huu uwanja wa Old Trafford.

Mapema dakika ya 8′, kiungo wa Man United, Michael Carrick alijifunga na kuwapa goli la bure Brugge, lakini nyota mpya Memphis Depay alifuta bao hilo dakika ya 13′.
Dakika ya 43′, Depay akarudi tena kambani akiandika goli la ushindi kwa kikosi cha Louis van Gaal.
Dakika ya...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Habarileo

Ndoa za Watanzania ni shida!

UTAFITI wa aina yake kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, uliohoji wanawake hasa wanandoa, umebaini taasisi hiyo muhimu katika jamii, inakabiliwa na migogoro inayochangiwa zaidi na wivu wa waume, huku wanaume wa Morogoro wakiongoza nchini kwa kuonea wivu wake zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Unene, shida na matibabu

Unene(obesity), ni ugonjwa unaokua kwa kasi kipindi hiki ukiambatana na madhara makubwa kiafya hata vifo.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI TANZANIA NI SHIDA


Aki hawa police wanatumia operating system mpya inaitwa kusanya pesa, yaani hawaongei ni kuandika tu..BTW kila polisi ana kitabu..mwaka huu mpaka ifike october kila mtu ataelewa....good morning Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER BOWL NI SHIDA



Jamaa ilibidi aingie na tv chooni kwani akupenda kupitwa japo kidogo na uhondo Chezea super bowl wewe .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani