Kabwe aonya askari wa bomoabomoa
MKURUGENZI wa jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amesema waandishi wa habari wanaruhusiwa kuandika habari zinazohusu uvunjaji wa vibanda vya wafanyabiashara ndogo linaloendelea katika sehemu mbalimbali jijini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/adHomLpcUH-bP5VICnay7MrfvYvOYLOvgNUJ5LvU1h1O3re*dQa29ybVcserO46Q4uCLjOnuCyXB362UsFcD-2BKT4S1MJLN/1KKOO2.jpg?width=650)
BOMOABOMOA KARIAKOO
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Bomoabomoa kupingwa mahakamani
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Bomoabomoa yanukia Kariakoo
Na Christina Gauluhanga, DAR ES SALAAM
MANISPAA ya Ilala imetoa siku saba kwa wamiliki wa nyumba, maduka, gereji bubu, sehemu za maegesho kuhakikisha wanaondoka katika maeneo waliyovamia kabla bomoabomoa haijawakumba.
Pia imeipa Mamlaka ya Maji Safi na Taka (DAWASCO) siku saba kuhakikisha inaunganisha mabomba ya maji taka yaliyopasuka, na kuondoa kero ya kusambaa mitaani.
Mkurugenzi wa Ilala, Isaya Mngurumi, alikuwa akizungumza Dar es Salaam jana alipotoa tathimini ya usafi katika...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Bomoabomoa kuendelea leo Dar
Na Grace Shitundu, Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kazi ya ubomoaji nyumba zilizoko katika Bonde la Mto Msimbazi itaendelea leo katika maeneo ambayo hayako kwenye zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Bonaventure Baya, alisema zuio lililopo mahakamani linahusu nyumba 681 tu, hivyo wataendelea na kazi katika maeneo yote...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Utulivu watawala bomoabomoa Arusha