Kagasheki ampongeza Lwakatare, akanusha kuchukua vitu alivyotoa
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki (CCM) amesema hana kinyongo na ushindi alioupata Wilfred Lwakatare (Chadema) na kuwaomba wananchi kupuuzia chuki zinazopandikizwa dhidi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Balozi Kagasheki, Lwakatare hapatoshi
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi
SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba
10 years ago
Daily News22 Feb
Kagasheki riled by unruly Bukoba councillors
Daily News
BUKOBA Urban Legislator Ambassador Khamis Kagasheki has tasked the Bukoba Municipal Council to give explanations on circumstances that led to change of contract between the Council and Unity Trust of Tanzania (UTT). Mr Kagasheki, who is the ...
9 years ago
Habarileo28 Oct
Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje
WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.
11 years ago
Habarileo25 Jan
Kagasheki akosoa ripoti Kamati ya Tokomeza
ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, amekosoa ripoti ya Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira akidai ilikuwa ya upande mmoja kwani haikuonesha mauaji ya askari waliohusika katika Operesheni Tokomeza Ujangili. Aidha, ameshangaa walioshangilia kujiuzulu kwake na baadaye uwaziri wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, akisema kujiuzulu ni jambo la kawaida na kwamba angejisikia vibaya kama angeondolewa wizarani kwa sababu za ufisadi au wizi wa mali za umma.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Kagasheki, Meya Amani wakwamisha maendeleo