Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagasheki ampongeza Lwakatare, akanusha kuchukua vitu alivyotoa

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki (CCM) amesema hana kinyongo na ushindi alioupata Wilfred Lwakatare (Chadema) na kuwaomba wananchi kupuuzia chuki zinazopandikizwa dhidi yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Balozi Kagasheki, Lwakatare hapatoshi

Kampeni za wagombea ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini zimeingia katika hatua muhimu baada ya mgombea wa CCM, Balozi Khamis Kagasheki na Wilfred Lwakatare (Chadema), kutafuta kura nyumba kwa nyumba.

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

11 years ago

GPL

WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU

Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, amejiuzulu bungeni hivi punde baada ya kutakiwa na wabunge awajibike kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi

SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...

 

10 years ago

Mwananchi

Kagasheki: Wachache wasilazimishe Katiba

Anasema kwa kawaida kitu kinachotafutiwa uhalali na ridhaa ya wananchi, kinapaswa kitokane na wananchi wenyewe.

 

10 years ago

Daily News

Kagasheki riled by unruly Bukoba councillors


Kagasheki riled by unruly Bukoba councillors
Daily News
BUKOBA Urban Legislator Ambassador Khamis Kagasheki has tasked the Bukoba Municipal Council to give explanations on circumstances that led to change of contract between the Council and Unity Trust of Tanzania (UTT). Mr Kagasheki, who is the ...

 

9 years ago

Habarileo

Kapuya, Kagasheki na Zambi watupwa nje

WAZIRI katika Serikali ya Awamu ya Nne, Godfrey Zambi pamoja na waliokuwa mawaziri katika Serikali hiyo, Profesa Juma Kapuya na Balozi Khamis Kagasheki ni miongoni mwa wabunge waliotupwa nje katika matokeo ya ubunge yanayoendelea kutolewa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumapili wiki hii.

 

11 years ago

Habarileo

Kagasheki akosoa ripoti Kamati ya Tokomeza

ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, amekosoa ripoti ya Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira akidai ilikuwa ya upande mmoja kwani haikuonesha mauaji ya askari waliohusika katika Operesheni Tokomeza Ujangili. Aidha, ameshangaa walioshangilia kujiuzulu kwake na baadaye uwaziri wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, akisema kujiuzulu ni jambo la kawaida na kwamba angejisikia vibaya kama angeondolewa wizarani kwa sababu za ufisadi au wizi wa mali za umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Kagasheki, Meya Amani wakwamisha maendeleo

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe ameonyesha hofu ya ugumu wa kutekeleza ahadi zilizotolewa na CCM kwa wananchi mjini hapa baada ya Sh18.5 bilioni kuondolewa na wafadhili kufuatia mgogoro wa kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani