KAHAWA YAWAKOMBOA WANANCHI WA TARIME
Na Jonas Kamaleki- MAELEZO, Tarime
Kahawa ni moja ya mazao ya kimkakati zao ambalo limebadili maisha ya wakazi wa Tarime, Mkoa wa Mara kwa kuwaongezea kipato hivyo kuwaletea maendeleo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tarime, Apoo Castro Tindwa akizungumza na maafisa wa Idara ya Habari (MAELEZO) katika mahojiano maalum amesema juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano za kufufua zao la kahawa zimewanufaisha wananchi wa Tarime.
“Zao la kahawa limeibuka upya kupitia Serikali ya Awamu ya Tano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Wananchi waunga mkono kampuni kununua kahawa
WANANCHI wa Wilaya wa Ngara, mkoani Kagera wameiomba Serikali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Kampuni ya Arab Globe International wilayani humo, kununua na kusindika kahawa ya unga kwani imekuwa msaada mkubwa kwao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WANANCHI WA CHATO KATIKA KIJIWE CHA KAHAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fD1Q0-yA0lQ/Xn-X59mDQTI/AAAAAAALlbA/zbtepXsP8_wmNbqarHMtOiBbUzY5cTUSgCLcBGAsYHQ/s640/01%2BJPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye leo tarehe 28 Machi, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.
![](https://1.bp.blogspot.com/-9dkgZrsmSDw/Xn-X5-hqzOI/AAAAAAALla8/F8KYvCDAWqktKNyddJB54JBt8gVD3ADfgCLcBGAsYHQ/s640/JPM%2BAKINYWA%2BKAHAWA%2BCHATO%2B2.jpg)
Mhe. Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi wenzake huku wakinywa kahawa pamoja na amewatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua maboga hayo kwa ajili ya chakula chake cha...
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Wananchi washiriki ukarabati wa barabara Halmashauri ya Mji wa Tarime!!
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/oP695En_vf8/default.jpg)
9 years ago
VijimamboWANANCHI WA KIJIJI CHA KENYAMANYORI WILAYANI TARIME WANASTAHILI PONGEZI.
Ni ukweli usiopingika kuwa uongozi wa kijiji hicho pamoja na wananchi wake ambao asilimia kubwa ni wakulima, wanastahili pongezi kwani wazo lao la kujenga shule ya sekondari ni wazo bora na limewasaidia watoto wa kijiji hicho na wale wanaotoka vijiji jirani kupata elimu karibu zaidi hivyo ni vyema wakaendelea kushirikiana na serikali pamoja na wahisani wengi katika kuhakikisha kwamba wanaiboresha zaidi shule hiyo ili iweze kuwa mkombozi kwa ajili ya watoto wao...
10 years ago
MichuziBODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
MichuziMONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....