Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKAKUONA : Ukawa ni urafiki thabiti au ulafi wa madaraka?

Katika siku za karibuni, kumejitokeza sintofahamu katika baadhi ya majimbo kwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kushindwa kuachiana viti vya Ubunge na Udiwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Karibu sheria ya kuzuia ulafi wa viongozi

 Tuliwahi kusema katika safu hii kuwa, iwapo Watanzania wangetakiwa kutoa maoni kuhusu taasisi ya umma ambayo wanadhani iliundwa kulinda masilahi ya viongozi badala ya wananchi, bila shaka wengi wangeinyooshea vidole Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria kudhibiti ulafi wa viongozi yatungwa

Rais wa Awamu ya Tatu, Ali Hassan MwinyiMAPENDEKEZO ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma, kutenganisha viongozi, mali na biashara zao, ili kuzuia ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma unaoendelea kutokea nchini yamewekwa hadharani.

 

10 years ago

Habarileo

Mkapa afagilia sheria kuzuia ulafi wa viongozi

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Benjamin MkapaRAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.

 

10 years ago

GPL

KAKAKUONA AONEKANA DAR

Kakakuona akitembea.
Mama Mwita akimshika Kakakuona baada ya kuingia nyumbani kwake.…

 

10 years ago

Vijimambo

KAKAKUONA ALIYEONEKANA LEO KIGAMBONI,JIJINI DAR

Huyu ndiye Kakakuona aliyeonekana leo maeneo ya Kigamboni,jijini Dar, alikunywa maji mengi sana kufuatia mvua iliyonyesha leo,akafuata unga na pesa,aliepuka panga na kisu. Watabiri wa mambo wanasema tutarajie mema mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

KAKAKUONA: JK umeondoka bila kuumaliza mpasuko Zanzibar?

Rais Jakaya Kikwete alipoingia madarakani 2005, aliahidi kushughulikia mpasuko wa kisiasa Zanzibar, lakini bahati mbaya anaondoka madarakani akiacha mpasuko mkubwa zaidi wa kisiasa.

 

10 years ago

CloudsFM

Huyu ndiye kakakuona aliyeonekana leo Kigamboni,jijini Dar

Huyu ndiye Kakakuona aliyeonekana leo maeneo ya Kigamboni,jijini Dar, alikunywa maji mengi sana,akafuata unga na pesa,aliepuka panga na kisu. Watabiri wa mambo wanasema tutarajie mema mwakani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'

Rais Goodluck Jonathan amesema kuwa jeshi la nchi hiyo halijashindwa kuyazuia mashambulio ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

Michuzi

kakakuona aonekana kigamboni leo, wananchi watabiri ni ishara ya mvua nyingi msimu huu

 Wananchi wakiwa wamemzunguka Kakakuona aliyeonekana asubuhi majira ya saa moja maeneo ya Kigamboni Kisiwani Mtaa wa Chaboko ambapo kwa mujibu wa ripota na mpiga picha wetu Salma Bob Kassim, mnyama huyo aliwekewa Unga, ndizi, maji pamoja na pesa. 
Lakini akaishia kunywa maji tu kabla ya kukimbilia vichakani. Wananchi kwa mamia waliofurika kumuona Kakakuona huyo walisikika wakisema kuwa huenda huo ni utabiri kwamba huenda mvua zikawa nyingi msimu huu. 
Polisi walifika eneo la tukio na baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani