KAMA HAWAKUONI, JITATHMINI UPYA KABULA

MIRIAM Jolwa siyo jina geni miongoni mwa mashabiki wa filamu za Kibongo. Ni mmoja wa mabinti walio wadau katika tasnia hiyo, ingawa amekuwa maarufu zaidi kwa jina lake la kisanii kama Jini Kabula. Nina uzoefu kidogo na wasanii wetu, hasa hawa wakubwa. Baadhi yao nimewafahamu tangu wakiwa hawana umaarufu hadi kufikia ustaa wa kutisha. Majina yao yanapopaa na kuwa gumzo kila kona, dunia inakuwa yao, ndiyo maana wapo ambao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
BARUA NZITO STARA THOMAS JITATHMINI UPYA
10 years ago
Mtanzania14 May
Kabula atulizwa na mpenzi wake
NA RHOBI CHACHA
BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...
11 years ago
GPL
JINI KABULA ANASWA MTUMBANI
10 years ago
GPL
MADAI JINI KABULA AREKODIWA
10 years ago
GPL
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
GPL
KABULA AJUTA KUMPENDA BUSHOKE
10 years ago
GPL
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA
10 years ago
GPL
JINI KABULA AMTAKA CHUZ AOE
11 years ago
GPL
JINI KABULA ACHARUKA VIMINI RAMADHANI