Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama jina lako halijabandikwa kituoni,Hutaruhusiwa Kupiga Kura

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo?

Ukipita mbele ya jengo la Wizara ya Kilimo na Maliasili hapo Darajani utakutia karatasi zimebandikwa ukutani kama picha zinavyojieleza. Huo ndio utaratibu unaitumika kutoa matokeo ya nafasi za kazi kwenye Mawizara ya SMZ. Na huo ndio […]

The post Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA


HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...

 

9 years ago

Habarileo

RC aungana na wapiga kura kuwahi kituoni

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kupiga kura katika kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Dodoma Mlimani, kata ya Tambuka Reli huku vijana wakidai hawapo tayari kulinda kura vituoni.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA TANZANIA JINA LAKO NI TAMU SAAAAAAANA

Mpaka karne hii tunakuwa na imani potofu hivi ni nani aliyetuloga wa Tz, utafiti ulifanyika! wahusika! wakabainika!,mpaka leo mwaka mwingine wa uchaguzi umefika! hakuna kilichofanyika!, je'na viongozi wanahusika? Sheria mikononi mwetu sasa kw yeyote anayehusika! 
Zuia mauaji ya

STOP KILLING OUR DEAR BROTHERS & SISTERS WITH ALBINISM.

 

10 years ago

Vijimambo

KURA YA URAIS 2015 NANI CHAGUO LAKO?

Mhe. Dr. Johh Pombe Magufuli                                    Mhe. Edward LowassaKURA YA URAIS 2015: NANI CHAGUO LAKO?(Poll By NewDealAfrica)EDWARD N.LOWASSA
JOHN P.MAGUFULI
SIJAAMUA (UNDECIDED)
See results votepolls
Kura Yako Inaangukia Kwa Nani?

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni

https://www.facebook.com/voiceofzanzibar?fref=ts Afisa wa Tume juma chum YADAI watu wafungue kesi ya malalamiko mahakamani Mtu mmoja akamatwa na vitambulisho haramu ambae ni katibu wa CCM wa tawi akivigawa kwa watu tume wanasema wapewe wenyewe wapige kura kisha […]

The post Breaking news : Amani vitambulisho 172 vya mpiga kura vyakamatwa kituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

MillardAyo

Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6

Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]

The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani