TANZANIA TANZANIA JINA LAKO NI TAMU SAAAAAAANA
Mpaka karne hii tunakuwa na imani potofu hivi ni nani aliyetuloga wa Tz, utafiti ulifanyika! wahusika! wakabainika!,mpaka leo mwaka mwingine wa uchaguzi umefika! hakuna kilichofanyika!, je'na viongozi wanahusika? Sheria mikononi mwetu sasa kw yeyote anayehusika!
Zuia mauaji ya
STOP KILLING OUR DEAR BROTHERS & SISTERS WITH ALBINISM.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Aug
Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo?
Ukipita mbele ya jengo la Wizara ya Kilimo na Maliasili hapo Darajani utakutia karatasi zimebandikwa ukutani kama picha zinavyojieleza. Huo ndio utaratibu unaitumika kutoa matokeo ya nafasi za kazi kwenye Mawizara ya SMZ. Na huo ndio […]
The post Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-60LItKlDAq0/ViW1Hdlq_DI/AAAAAAAAm68/Y2kZr0fZeLU/s1600/NEC.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s72-c/iStock_000019688253Small-2.jpg)
JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s1600/iStock_000019688253Small-2.jpg)
HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Bryan: Jina linalopendwa zaidi mwaka 2013/14 Tanzania
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s72-c/Buffet-Table.jpeg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DRBLrIo3FXA/Vembk69YDjI/AAAAAAAD6JE/DKxQzCcQVyQ/s640/Buffet-Table.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lbHhaP8bwQ/Vembl8TbKiI/AAAAAAAD6JM/DQRbk1S_POo/s640/COT-NYtravFest-2014-1-e1438601902521.jpg)
Curious on Tanzania Launches Tanzania Culture Fest in New York City On September 5, 2015 experience Tanzania in New York City with a cultural evening of food and live entertainment that will inspire and fulfill your curiosities about Tanzania.
The idea behind the Fest is to celebrate Tanzanian culture with Tanzanians, taste makers, previous/ future travelers and others who are curious to know more or experience our culture and more. Some of the highlight of the event will be Tanzanian...
10 years ago
Michuzi23 Oct
Uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni
![](https://2.bp.blogspot.com/-xhVyFjM7yZQ/VEe10pukQoI/AAAAAAADGU8/WGYpQRb0rnU/s1600/DSC_0576.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-4a2i2au8Blw/VEe10lrGoqI/AAAAAAADGUQ/QbnogdXZSWk/s1600/DSC_0706.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKzqo0TFUhw/VEe12RlFnwI/AAAAAAADGUo/Bd6OAZiSpCk/s1600/l.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/--wYKqXPc7W8/VEe10s2W6GI/AAAAAAADGUM/tBNo9V9UMHo/s1600/DSC_0648.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-jZRtHR2ICjg/VEe12Az10LI/AAAAAAADGUk/8JUtP-6Kj14/s1600/James%2BMwakibplwa.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s1600/Untitled.vpng.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s72-c/New+Picture+(6).png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) KUANZA 25 -31 JULAI 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VUElcJ6_bHU/U4xEzU4tAII/AAAAAAAFnMg/sPCoZZ_zmHU/s1600/New+Picture+(6).png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau mbalimbali...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania
Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...