Kamati ya Ulinzi Mkoa yabanwa mabomu Arusha
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Arusha (RCC) kimetaka polisi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, kuacha kutoa matamko ya haraka, badala yake wachunguze kubaini chanzo cha milipuko ya mabomu jijini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR WAENDELEA KUJIFUA KUJIANDAA KUWAKABILI WENZAO WA MKOA WA ARUSHA
Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_112732_963.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112732_963.jpg)
Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-aBmHNYUKFfc/XosNPxj5fcI/AAAAAAAAJCQ/635nkyp57a048uHodCyRVJHgdz8Uz_1AgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112734_674.jpg)
Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7gC0RuUlNs/XosNPUfqrMI/AAAAAAAAJCM/AlX6Bu1Byg8MmhrPEprpH3x9HBWpPrBzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112814_696.jpg)
Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s72-c/1.jpg)
TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z36_hzm3vZs/Vd2v-5x7SzI/AAAAAAAH0Lw/cnDEx-rvP4k/s640/3.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Dec
Ushahidi mabomu ya Arusha watakiwa
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amemtaka Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari (Chadema), kuwasilisha tuhuma zote alizonazo dhidi ya Polisi, kudaiwa kumtesa mtuhumiwa wa bomu lililolipuka katika eneo la Olositi, mkoani Arusha kwenye mkutano wa Chadema.
11 years ago
Habarileo01 Aug
Watuhumiwa mabomu Arusha watajwa
WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, majina yao yamewekwa hadharani jana na leo wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayowakabili. Watuhumiwa hao ni pamoja wanaodaiwa kuhusika katika ulipuaji wa bomu katika viwanja vya Soweto, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni za udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliofanyika Juni 15, 2013.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mabomu yazidi kutikisa Arusha
10 years ago
Michuzi03 Jul
MAKATIBU WA CCM MKOA WA ARUSHA WAPEWA PIKIPIKI NA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA
![SAM_3542](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-_OIpLaiznD9W9_-mvcKhtVs9Ttj5NN6xdXZD5ti6sYmu34kYi3wpPQCSvUcnGLesXoZKfQRcPgYtFXGkcXAE-8HLICjF_E7yS5Src65c1yKuMc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3542.jpg)
5 years ago
MichuziKAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAFANYA ZIARA
11 years ago
Habarileo21 Jun
TANAPA yaanzisha kamati za ulinzi vijijini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), limeanzisha mpango wa kuunda kamati za ulinzi shirikishi kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi, ili kuongeza nguvu ya kupambana na ujangili.